Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

7a90b2fe4a4b6a3d0d4836090fb2a563.jpg
 
Lafudhi ya lugha yetu adhwimu ya kiswahili.
Mwarabu mmoja baada ya kukaa bongo nyoso na kupata watoto lakini kiswahili bado kilikuwa kinampa tabu wapwa zake wakamchukua na kwenda nao Oman kwa muda mrefu aliporudi bongo akakuta mtoto wake ana familia ya watoto wawili wa jinsia tofauti watoto wale walikuwa watundu sana siku moja wakawa wanachezea mlango wanaubamiza
Babu :weye fatma na Ally habana chezea mlango tommbaneni (hapana kuchezea mlango utawabaneni )
Wale vijana wa kidasalama wanakua akili kabla ya umbo wakaanza kulicheza segere mtu na dada yake mara akaingia baba yao akawakuta katikati ya tendo akawachapa huku akiwauliza nani kawaambia wafanye hivyo watoto wakajibu babu yao huku wanalia.
Kijana kaenda kwa baba yake na kumuuliza
Kijana :baba kwa nini umewaambia watoto wafanye tabia mbaya?
Babu :mimi muhsin ibn thaqarani nawaambia watoto habana chezea mlango tommbana (hapana chezea mlango utawabana)
 
Pana msomali mmoja alikuwa na bibie yake ila wanakaa tofauti sasa yule bwana huwa anakwenda kwa yule bibi anapiga game kisha anakwenda kwake. Bibie akawa na shida ya laki moja akamwambia yule bwana akawa ana muahidi mara kesho mara keshokutwa bibi yule akamwambia kesho ukija bila ya laki sikufungulii mlango bwana yule kafanya pilika zake kakosa akaona isiwe tabu atampiga kiswahili atatulia akapita bar na kutupia castle lager kadhaa kisha akaondoka na kopo kama mbili hivi zikiwa hazijafunguliwa mpaka kwa demu wake kafika kagonga mlango bibie akamuuliza vipi mzigo wangu umekuja nao jamaa akajichanganya na kusema kakosa basi bibie akamwambia sifungui jamaa kagonga sana mlango bila ya mafanikio ikabidi amwambie basi kama hufungui mlango fungua dirisha basi bibi yule akaona kero na kufungua dirisha bwana yule akampa kopo tupo la castle na kumwambia akojoe mule bibie akaona isiwe tabu akakojoa na kumpa msomali wa watu akaaga na kwenda kwake kufika akavua nguo kisha akauingiza MPINI wake kwenye lile kopo huku akisema "leo makosa nyama kunywa thupuuuuu "
 
Road licence imefutwa lakini traffic watakuwa wanaangalia geji ya mafuta, wakikuta mshale unakaribia E au umefika E na bado unatembelea gari unakamatwa kwa kosa la kutolipa Road Licence, pia ukibainika unapiga Neutral utakamatwa kwa kosa la kukwepa kulipa Road Licence
 
TBT kule primary:
Andika insha ukianzia na........
*Nilipofika nyumbani, nilipata mama
amepigwa na butwaa...... (endelea)*
....nikakimbia mpaka kwa akina
butwaa.Nikamuuliza "Butwaa,mbona umepiga mamangu?" Nikampiga butwaa
mpaka akatokwa na damu.Hapo ndipo
niligundua damu ni mzito kuliko maji!!! [Emoji23][emoji23][emoji23]wat was wrong with us
 
Kama wewe hukupitia hizi mambo basi
mwenzetu ulikuwa wa kishua hujasoma shule
zetu zile..Kwa tuliosoma hz shule msijifanye
mmesahau hebu tujikumbushe kidogo.....
(Kwa sauti ya kale kawimbo)
a,b,c,d,e,f,g,h,i,j,k,ELOMENO, p,q,r,s,t,u,v,w,x,y,z....
Turudie tena...ELOMENO,p,q,r,s,t......... Sahz unajifanya mjaaanja...
 
Mlevi ameingia choo ya wanawake Wanawake wakapiga KELELE wakisema "hii ni ya wanawake" Mlevi akafungua zip akasema "hii pia ni ya wanawake
[HASHTAG]#MLEVI[/HASHTAG] SIYOMTU WA MCHEZOMCHEZO
 
Jana nimekutana na walevi wawili..mmoja kashika kioo kajiangalia akamuuliza mwenzake unamjua huyu jamaa? Mwenzake kachukua kioo na kumwmbia yes... Namjua vzr ni jirani yang kabisaa..
 
Huwa najiuliza wale wanafunzi waliokuwa wanamkimbilia mwalim akija darasana kumpokea au waliomsaidia kubeba vifaa baada ya Kipindi sasa hivi wako wapi? Au ndio wale madalali pale ubungo wanakimbilia kubeba mzigo wa abiria kupeleka kwenye basi?
 
Back
Top Bottom