Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mungu alifikiri sana asee kuzaliwa kwetu binadam Kwa mfano ingekua mwanamke ataga mayai ndio tutotolewe tungekuwa wachache sana huku duniani vile wanaume tunavyo jipenda[emoji12][emoji117]ungeskia mke wang umetaga mangapi leo!![emoji12][emoji12]mke.[emoji117]ma4
Mume.[emoji117]nikarangiziee matatuu[emoji23][emoji23][emoji23]

No.[HASHTAG]#Love[/HASHTAG]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha
 
9cb92d11c26469d6481dbe6690514cca.jpg
Hahahahahahahaaaaaaaaaaa
 
Swali la kizushi, hivi wachawi wanapodondokaga kwanini havunjiki hata mguu? Anakua salama kabisa hatakama alidondoka kutoka stratosphere, wakati mtu akijikwaa tuu anachubuka balaa.kuna mechanism gani kwenye usafiri wa ungo ukipata ajali hata huchubuki wakati ndege za wazungu mnakufa wote [emoji23][emoji23][emoji23]I think African technology is the best of wazungu Kama tukijiendeleza
[emoji113][emoji113][emoji113]

WpK
 
Husband on second day of marriage :-
He went to the makeup artist who did his wife's bridal make up, and gifted her a beautifully packed iphone 7 plus box.
Make up artist opened the box with great happiness but was suddenly depressed to see a Nokia 1100.
Husband smiled and said "same feeling I had when I saw my wife this morning"
Da mwanang. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali la kizushi, hivi wachawi wanapodondokaga kwanini havunjiki hata mguu? Anakua salama kabisa hatakama alidondoka kutoka stratosphere, wakati mtu akijikwaa tuu anachubuka balaa.kuna mechanism gani kwenye usafiri wa ungo ukipata ajali hata huchubuki wakati ndege za wazungu mnakufa wote [emoji23][emoji23][emoji23]I think African technology is the best of wazungu Kama tukijiendeleza
[emoji113][emoji113][emoji113]

WpK
Itakuwa ungo umeekewa mechanism ya invisible airbag[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
 
e943bfae90165dc5c4da9e854dfc366a.jpg

[emoji115] [emoji115] [emoji115] ingekuwa mimi ndio huyo mchoraji[emoji38] [emoji38] [emoji38] angesikia tu, imoooooooo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
 
e943bfae90165dc5c4da9e854dfc366a.jpg

[emoji115] [emoji115] [emoji115] ingekuwa mimi ndio huyo mchoraji[emoji38] [emoji38] [emoji38] angesikia tu, imoooooooo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23]

[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]
 
e943bfae90165dc5c4da9e854dfc366a.jpg

[emoji115] [emoji115] [emoji115] ingekuwa mimi ndio huyo mchoraji[emoji38] [emoji38] [emoji38] angesikia tu, imoooooooo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
Na wazungu wangekuwa washatoka.
 
HIZI NDIO AINA KUU ZA TUNGO

Mfano.

1.Mwanafunzi ana ngoma
-Tungo tata

2.Juma anakwenda Kibiti.
-Tungo hatarishi

3.Umepokea kiasi cha sh.1,000,000 kiwango chako cha Mpesa ni sh 1,500,000
-Tungo tamanishi

4.Msiba wa mkwe umenikuta na sh 1200 mfukoni
-Tungo huzunishi

5.Kawogo kaokota Dola elfu kumi Mtaa wa Kongo
-Tungo ndoto

6.Maisha ya nyumba ndogo yana raha kuliko ya nyumba kubwa
-Tungo mchepuko.

7. mwanafunzi unaetembea nae kukwambia hazioni siku zake[emoji42]
-Tungo shtushi

NI MFANO WA TUNGO TU HIZO ILA SIO KWELI[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
 
HIZI NDIO AINA KUU ZA TUNGO

Mfano.

1.Mwanafunzi ana ngoma
-Tungo tata

2.Juma anakwenda Kibiti.
-Tungo hatarishi

3.Umepokea kiasi cha sh.1,000,000 kiwango chako cha Mpesa ni sh 1,500,000
-Tungo tamanishi

4.Msiba wa mkwe umenikuta na sh 1200 mfukoni
-Tungo huzunishi

5.Kawogo kaokota Dola elfu kumi Mtaa wa Kongo
-Tungo ndoto

6.Maisha ya nyumba ndogo yana raha kuliko ya nyumba kubwa
-Tungo mchepuko.

7. mwanafunzi unaetembea nae kukwambia hazioni siku zake[emoji42]
-Tungo shtushi

NI MFANO WA TUNGO TU HIZO ILA SIO KWELI[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
-Dikteta uchwara apingwe!
Tungo chochezi.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Jamani humu kuna msichana mwenye chuchu saa sita?[emoji15] [emoji15]
Nataka anirekebishie saa yangu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kuna mda nacheka nakujisahaulisha ujinga Wa dikiteta uchwara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom