HIZI NDIO AINA KUU ZA TUNGO
Mfano.
1.Mwanafunzi ana ngoma
-Tungo tata
2.Juma anakwenda Kibiti.
-Tungo hatarishi
3.Umepokea kiasi cha sh.1,000,000 kiwango chako cha Mpesa ni sh 1,500,000
-Tungo tamanishi
4.Msiba wa mkwe umenikuta na sh 1200 mfukoni
-Tungo huzunishi
5.Kawogo kaokota Dola elfu kumi Mtaa wa Kongo
-Tungo ndoto
6.Maisha ya nyumba ndogo yana raha kuliko ya nyumba kubwa
-Tungo mchepuko.
7. mwanafunzi unaetembea nae kukwambia hazioni siku zake[emoji42]
-Tungo shtushi
NI MFANO WA TUNGO TU HIZO ILA SIO KWELI[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Jamii Forums mobile app