Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
- Thread starter
- #3,181
Ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo
1. Ni bei ya sato kilo moja
2. Kuku wa nyama mmoja
3.kilo 2 za nyama ya ng'ombe
4.Sukari kilo 3
5. Donna kilo 4
6. Mchele kilo 4 super kabisa
7. Maziwa ya ng'ombe lita 4
8. Soda yake away 10
9. Castle lite 4
10. Petrol lita 5
11, nauli ya safari 13 za
Mwendo kasi
12. Chocolote ivory dogo 20
13. Mayai tray moja kizungu
14. Nauli na kiingilio cha mechi ya simba na yanga
Unaweza ongezea [emoji3][emoji3][emoji3]
1. Ni bei ya sato kilo moja
2. Kuku wa nyama mmoja
3.kilo 2 za nyama ya ng'ombe
4.Sukari kilo 3
5. Donna kilo 4
6. Mchele kilo 4 super kabisa
7. Maziwa ya ng'ombe lita 4
8. Soda yake away 10
9. Castle lite 4
10. Petrol lita 5
11, nauli ya safari 13 za
Mwendo kasi
12. Chocolote ivory dogo 20
13. Mayai tray moja kizungu
14. Nauli na kiingilio cha mechi ya simba na yanga
Unaweza ongezea [emoji3][emoji3][emoji3]