Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

*Thank you kitanda*
*thank you shuka*
*thank you net*
*and Other majority good night USINGIZI*
*I am here to propose the motion which states that 'USINGIZI IS BETTER THAN KUCHART'* *according 2 our shortage of time I have only one point which is*
*1:jamani tupumzishe ubongo stress zipo tu*
*any question??*
*Good night for you!
 
Hakuna kitu kinaniboa kama kukuta tangazo la kitu kizuri lakini wameliandika kwa kiingereza na kiingereza chenyewe kibovu wakati wanaonunua scrapper unakuta kwenye tangazo lao neno scrappers limeandikwa vizuri[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

wala sijawahi vutaga bangi Mimi
Noma
 
Mzee kaniuliza‍♂‍♂ nasikia una mahusiano na[emoji68]‍[emoji161][emoji68]‍[emoji161][emoji68]‍[emoji161] nikamwambia ndio sasa unataka niwe na mahusiano na insect[emoji220][emoji220][emoji220][emoji220][emoji220] wakat mm ni Mammalian[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] naona mzee amekuja na waya[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] nadhani anataka kuunganisha DSTV[emoji16][emoji16]
 
3e3ac29817525d4aaa8a9c408d668077.jpg
f27a05d07dc5c184a14ee70a245a8812.jpg
d35d3c2526fe00515852460052b7a3d3.jpg
b63c70f0549fe8be123fc650e22a3887.jpg
 
polisi alishika watu wa tatu maskani wakinuka bangi lakini hakujua alovuta ni nani kati yao, Akumuuliza wa kwanza " Mechi ya chelsea na Manchester nani kashinda ? akajibu "Manchester
" Akamuuliza wa pili " kati ya makafiri na waislam nani alishinda vita vya uhud ? akajibu waislam .

Akamuuliza wa tatu umejifunza nini kutokana na haya majibu ? akajibu nimejifunza Manchester na waislam watacheza fainali.
[emoji3][emoji3]

Kweli MSUBA ni Nomaa,, Wakuu[emoji3]
 
UTAFITI
Baada ya kufanya utafiti na kuridhika nao. Sasa tumeamua kuutoa mbele ya watanzania! Kama hujui hesabu hasa Probability sasa iko hivi, probability ni uwezekano wa kitu fulani kutokea sasa leo tunaenda kuzungumzia uwezekano wa mtu kuolewa au kuoa:

WANAWAKE

1. Ukiwa una tabia nzuri ila shape na sura haujafinikiwa uwezekano wa kuolewa ni asilimia 40%

2. Ukiwa una tabia nzuri shape nzuri ila sura haukufanikiwa uwezekano wa kuolewa ni asilimia 70%.

3.Ukiwa na sura nzuri shape nzuri na tabia nzuri uwezekano wa kuolewa ni asilimia 85% kama hauna mtoto. Na kama una mtoto ila haukai naye ni asilimia 65%

4. Kama umezaa mtoto na uko unaishi naye yaani hana pa kwenda basi uwezekano wa wewe kuolewa na mtu ambaye sie baba wa mtoto ni 30% .

5. Ikijulikana wewe ni kicheche mtaani kwenu haujatulia basi uwezekano wa kuolewa ni asilimia 5%. Ila uwezekano wa kupewa mimba na kuachwa ni asilimia 80%.

6. Ikijulikana wewe ni bikra mbele ya watu na wakajua wakawa na uhakika basi uwezekano wa kuolewa ni asilimia 93.5%.

Kwa wanawake ikumbukwe kila degree unayoongeza kwenye kusoma inapunguza uwezekano wa kuolewa sasa basi:

7. Kama una degree moja uwezekano wa kuolewa ni asilimia 70%

8. Kama una masters basi uwezekano wa kuolewa ni asilimia 45%.

9. Kama una PHD basi uwezekano wa kuolewa ni asilimia 15%

10. Kama umekuwa Profesa basi dada yangu uwezekano wa wewe kuolewa ni asilimia 2%.

11. Kama una matege na ndo changamoto yako basi dada ukivaa sketi siku zote uwezekano wa kuolewa unakuwa asilimia 70%. Lakini kama unavaa suruali kuonyesha matege yako miguu inazunguka zunguka kama feni basi uwezekano wa kuolewa ni asilimia 3%. Na hawa wanaume watakaokuoa ni wale vipofu!

12. Kama umezalishwa watoto kama watatu na hujaolewa basi wewe uwezekano wa kuolewa ni asilimia 2%.

13. Kama unashinda online kazi kupost picha insta, whatsapp, facebook, panyabuku na countabuku basi uwezekano wa wewe kuolewa ni asilimia 15%.Yaani kila mwanamume anahisi wewe ni mali ya uma.

14. Kama wewe ni kibonge sana basi uwezekano wa kuoelewa ni asilimia 50%. Punguza kula dada yangu. Ukishaolewa kula nenepa mpaka upasuke.

15.Kama wewe ni mwembamba sana basi uwezekano wa kuolewa ni asilimia 40. Nenepa kidogo!

16. Kama unatumia simu ya TECNO uwezekano wa kuolewa ni asilimia 70%.

17. Kama unatumia Iphone basi uwezekano wa kuolewa ni asilimia 10%.

18. Kama una marafiki wengi wa kiume kuliko wa kike. Basi uwezekano wa kuolewa ni asilimia 30%. Utasema hao ni marafiki ila kumbuka wanaume hawaaminianagi. Wewe pia utaonekana ni mali ya uma hata kama sio!

19. Kama unanuka mdomo. Dagaa sijui wa juzi ulikula basi uwezekano wa kuolewa na wewe ni asilimia 20%. Hamna mwanamume ambaye yuko radhi atapike siku akiambiwa "You can now kiss the bride!"

Naona mpaka hapo mtakuwa mmeelewa maana ya probability na mnaweza kucalculate za kwenu. Haya tuamie kwa jinsia zilizobaki[emoji3]

WANAUME
1. Kama hauna hela uwezekano wa kuoa wewe ni asilimia 0%
Xe.
2. Kama una hela basi uwezekano wa wewe kuoa basi ni asilimia
100000%.

Simple sana kwa mwanaume

MWISHO
[emoji196][emoji196][emoji204][emoji204][emoji196][emoji196]
 
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!

Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja"[emoji196][emoji196] mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.

Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
I think nakaribia kupona

Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. [emoji19]Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..

Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57]
We jamaa ni noma acha kabisa cna mbavu
Hebu jiulize, umeshikwa na tumbo la kuhara mara chafya paaaap!
Ndugu yangu hapo ndio utajua wahenga walimaanisha nini waliposema mshika mawili moja humponyoka...!![emoji48][emoji38][emoji38]
 
polisi alishika watu wa tatu maskani wakinuka bangi lakini hakujua alovuta ni nani kati yao, Akumuuliza wa kwanza " Mechi ya chelsea na Manchester nani kashinda ? akajibu "Manchester
" Akamuuliza wa pili " kati ya makafiri na waislam nani alishinda vita vya uhud ? akajibu waislam .

Akamuuliza wa tatu umejifunza nini kutokana na haya majibu ? akajibu nimejifunza Manchester na waislam watacheza fainali.
[emoji3][emoji3]

Kweli MSUBA ni Nomaa,, Wakuu[emoji3]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
I started fearing smoking weed,when I saw my neighbour's son dancing to the sound of my generator. ..When I switched it off he asked me who sang that song ? Because I was afraid he would beat me , I answered " Yamaha featuring Petrol" [emoji23][emoji12][emoji12]
 
Back
Top Bottom