Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

IMG-20180103-WA0001.jpg
 
Basi utaondoka na stress..!

Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zote!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Future [emoji289]
Nzuriiii iyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
 
0b02c2980a938d7affeb764da5f8b0c1.jpg
[emoji38] [emoji38]Wakati ye mwenyewe ana 46 [emoji38] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Wanawake ndio viumbe wa ajabu kabisa huku duniani... Huwezi hata kuwaelewa

USO wa mwanamke ni 10% na 90% ni sehemu nyingine zilizobaki...

Lakini atatumia 90% ya mda wake kwenye kioo kwa ajili ya uso na 10% kwa ajili ya sehemu nyingine iliyobaki
 
Leo kwa mara ya kwanza nimejaribu kuvuta bangi,na hakuna chochote kibaya kimenitokea! Ila ndugu zangu wooote, heri ya krismas[emoji318][emoji319][emoji348]na mwaka mpya 1946, na tunapouaga mwaka 2023 kuelekea 2009 tutaonana tena 2004 kwa uwezo wa mungu, amen!!
 
Leo kwa mara ya kwanza nimejaribu kuvuta bangi,na hakuna chochote kibaya kimenitokea! Ila ndugu zangu wooote, heri ya krismas[emoji318][emoji319][emoji348]na mwaka mpya 1946, na tunapouaga mwaka 2023 kuelekea 2009 tutaonana tena 2004 kwa uwezo wa mungu, amen!!
Hii sio bangi ni mtindio Wa ubongo[emoji28]
 
Wanaume eeh..
Basi km tulivyokubaliana kene kile kikao chetu cha mwaka huu.. HAKUNA KUFUA BOKSA MPK IPITE KWANZA KWA MKEMIA MKUU, MZEE PUA..
[HASHTAG]#Basi[/HASHTAG] sawa nyie endeleeni, mm nina udhuru, nimeoa
 
UTAFITI;
Kesheni mkiomba; kauli hii imesababisha ongezeko la watoto kwa wingi.

Mwisho wa utafiti.



.
 
Back
Top Bottom