Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mwalimu alileta ndoo mbili darasani, moja kajaza Maji Nyingine kajaza Beer
Alafu akamleta punda anywe.....
Punda akanusa zile ndoo zote na akaamua anywe yenye Maji,
Mwalimu sasa akawauliza

Mwalimu :mmejifunza nini ??
Wanafunzi: Yeyote asiekunywa beer ni punda
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mtoto wa kiume kusikiliza muziki kwa kutumia earphone, huo ni umama! Mtoto wa Kiume unapaswa kubeba SABUFA na kutembea nayo...[emoji23][emoji1][emoji1][emoji18][emoji18][emoji23][emoji4][emoji4]
 
Tongozo la kiafande

SMS YA SAJENTI CHACHA KWENDA KWA KONSTEBO AISHA

DEAR unajua nakuthamini zaidi ya
RUSHWA na POSHO"! Bila ww, mm
siwezi kuishi, ni sawa na kukosa
BUNDUKI eneo la TUKIO! Nakuheshim
km ninavyo heshim RINDO! ww ni IGP
wa moyo wangu! Mbona upo
kimya,nina RB ya PENZI lako? Nijibu
nifungue jarada lako ndani ya moyo
wangu! Usiufanye moyo wangu
Ukaenda mbio kama DIFENDA mpya
ya POLICE. Nakuhakikishia Usalama
kama msafara wa RAIS! Usiniweke
ROHO juu km maandamano ya CHADEMA!........!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787]
IMG-20181014-WA0027.jpeg
 
Back
Top Bottom