Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Hii kali
IMG_1664.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Masai kaingia hotel

Masai: Ero rafiki nipee ile kitu ya duara enye tundu kati!

Muhudumu: Mh! We Masai mbona unatutukana?!

Ikabidi niwaambie tu, huyo anataka Doughnut (Donati) na sio kama anawatukana [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wajinga tayari tarehe ya leo wameshaanza kuiandika kwenye vitabu vya gesti na lodge[emoji38][emoji38]
Eti 1/1/2020 [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
Back
Top Bottom