The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Mnoooo tena Sana usikute mechi anaomba yeyeKuna msela wake waliachana bila kugombana wakikutana Wana nafasi kubwa ya kupasha kiporo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnoooo tena Sana usikute mechi anaomba yeyeKuna msela wake waliachana bila kugombana wakikutana Wana nafasi kubwa ya kupasha kiporo
Tobaaaa 🤣🤣🤣Jamaa yangu hapa kachoka, mtoto wa kwanza wakwake, wa pili sio wakwake. Mke wake Alisha gegedwa na rafiki yake na kuzalishwa
Sure thing 🤣Achana kabisa na mtu aliyemix feelings za majita kibao ndani yake Yani kila mtu kaacha kishamba chake ndani ya moyo wake. Wakija ni kupalilia Penzi
Woman are wicked 🙌Kuna dem nimewai kukutana nae. Dem alikua amepanga anaishi mwenyewe. Baada ya kumtongoza na penzi kusogea sogea mbele, nikaenda geto kwa siku moja usiku, kweli nikamkuta mwenyewe, stori kadhaa, nikapiga nikasepa. Ikawa tabia, kwa wiki lazima niende mara mbili au tatu, mana mi sina geto naishi hom. Dem nimepiga sana na alikua ananielewa sana. Ila dakika za mwisho dem nashangaa siku moja ananipa onyo kwamba saivi usiwe unakuja bila taarifa maana mme wangu wamekuja. Niliishiwa nguvu. Ni kitu ambacho alikua hajawai kuniambia hata siku moja. Tangu siku hiyo sijawai kumjibu sms wala kupokea simu zake. MADEMU[emoji1430]
Naam 📌💯💯Mwanamke ana Mwanaume Mmoja tu ambaye ni BABA YAKE.!!!.
KUna wengine mpaka wanafokolewa back stage halafu ukiwa nae sala kila saa mara bwana asifiwe mara swala tanoAsilimia kubwa (zaidi ya 95%) ya wanawake wa leo wana wanaume zaidi ya mmoja. Usidanganywe na uzuri, dini, kabila, upole nk. Hivyo fahamu kuwa, kila demu anayelika unayekutana naye;
✍️Kuna wanaume wapya anakutana nao wanaomuwazia mipango ya kumfunua sketi,
✍️Kuna wanaume wengine anajuana nao na wameshamuwekea mitego ya kumla kimasihara au kwa yeye kutaka, hivyo ukimuona tu ujue kuwa anaweza akaliwa baada ya robo saa, nusu saa, masaa kadhaa, kesho, keshokutwa, wiki ijayo nk
✍️Kuna wanaume wengine wameshakula, (lbda jana, juzi, wiki iliyopita nk) bado wanatetea nafasi tu.
✊ Tumia akili ya hali ya juu pale unapojiwekea nafasi kwa mwanamke yeyote ili uwe salama katika hii ligi.
Tumia kinga, uwe flexible kuachwa, usiwe na wivu, usimpe attention yako sana kiasi cha kuyasahau maendeleo yako katika nyanja zingine za maisha.
NOTE: Ni asilimia ndogo sana ya wanawake ( even below 5%) walio na mtu mmoja.
Ni KWELI MIMI HUWA SISHIKI SIMU YA MWANAMKE MFANO NINA KADEMU KANGU KAKO ILAZO HUWA KANAJUA KUKATA MAUNO BALAAAAAAA NAJUA TUTAKUWA WENGIAsilimia kubwa (zaidi ya 95%) ya wanawake wa leo wana wanaume zaidi ya mmoja. Usidanganywe na uzuri, dini, kabila, upole nk. Hivyo fahamu kuwa, kila demu anayelika unayekutana naye;
✍️Kuna wanaume wapya anakutana nao wanaomuwazia mipango ya kumfunua sketi,
✍️Kuna wanaume wengine anajuana nao na wameshamuwekea mitego ya kumla kimasihara au kwa yeye kutaka, hivyo ukimuona tu ujue kuwa anaweza akaliwa baada ya robo saa, nusu saa, masaa kadhaa, kesho, keshokutwa, wiki ijayo nk
✍️Kuna wanaume wengine wameshakula, (lbda jana, juzi, wiki iliyopita nk) bado wanatetea nafasi tu.
✊ Tumia akili ya hali ya juu pale unapojiwekea nafasi kwa mwanamke yeyote ili uwe salama katika hii ligi.
Tumia kinga, uwe flexible kuachwa, usiwe na wivu, usimpe attention yako sana kiasi cha kuyasahau maendeleo yako katika nyanja zingine za maisha.
NOTE: Ni asilimia ndogo sana ya wanawake ( even below 5%) walio na mtu mmoja.
Jamaa una wivu sana kuelekea mbususuNow It is my business,,,itabidi wakatafute sehem ya kufanya uchafu wao nasio kwenye nyumba niliyopanga Mimi.
🤣🤣🤣🤣 Maigizo kibao kumbe hamna loloteKUna wengine mpaka wanafokolewa back stage halafu ukiwa nae sala kila saa mara bwana asifiwe mara swala tano
Sio wivu mkuu bali naogopa kufanywa fala.Jamaa una wivu sana kuelekea mbususu
Wee usijali kuwa falama muhimu mbusisu unapewa.Sio wivu mkuu bali naogopa kufanya fala.
Acha tu mkuu tunajionea mengi🤣🤣🤣🤣 Maigizo kibao kumbe hamna lolote