Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nna mmoja huyo ananichuna balaa, nyapu kunipa hanipi, nikiomba mzigo naambiwa niwe na subira Kama kweli nampenda😎😎,Kinachokuja kuumiza ni ile trust fake alioitengeneza kwako ili umuamini ni mgumu kugegedeka dah[emoji26] kumbe wenzio wanambuluza mpaka mitaroni we mixture kumgharamia.god save us
Jamaa alikuja zingua mana demu badae akawa amejiona fala akawa anatafuta sababu tutemane mana kwa alichofanya alijiona yeye fala wakati akidhania yeye ndiyo mjanja, ikawa kila akitafuta sababu namkwepa aliyekuja kuzingua jamaa na akapigwa kibuti easily nahisi kwakua sikumpanga in deep kwamba nilitaka tumchezeshw ndombolo though nilikuja kumpotezea na mpaka sasa anamishe zake namm na zangu na bado anajipigisha simu mpk nkahisi alikuwa bado malaya fresh nn mana alozoea ule ushenzi hasingesita kabisa kutupotezea.Safii, Ulimpa Jamaa Ushauri Murua!
Ukweli ni upi?Sio kweli
Sawa wamekusikia..natumai watayafanyia kazi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mwanamke aliye kwenye kundi hili adimu anatakiwa HARAKA😊NOTE: Ni asilimia ndogo sana ya wanawake ( even below 5%) walio na mtu mmoja.
Nakubali sana Ras. Uchoyo ni roho mbaya na roho mbaya ndo inayotesa watu. Kizuri kula na mwenzio, ubinafsi wa nini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbunye zipo nyingi tugawane bila choyo. Nimetoka Kariakoo sshv nimekutana na mbunye kibao. Nimepita Mlimani City pale zipo kibao. Nipo Mbezi sshv zipo kibao. Ni swala la kuchukua moja unaisugua then unaiacha shambani wengine wale
Hapo sasa [emoji23][emoji23]Sa kwanini uwe peke ako kwani we ni baba ake?
Pamoja mkuuNakubali sana Ras. Uchoyo ni roho mbaya na roho mbaya ndo inayotesa watu. Kizuri kula na mwenzio, ubinafsi wa nini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asilimia kubwa (zaidi ya 95%) ya wanawake wa leo wana wanaume zaidi ya mmoja. Usidanganywe na uzuri, dini, kabila, upole nk. Hivyo fahamu kuwa, kila demu anayelika unayekutana naye;
✍️Kuna wanaume wapya anakutana nao wanaomuwazia mipango ya kumfunua sketi,
✍️Kuna wanaume wengine anajuana nao na wameshamuwekea mitego ya kumla kimasihara au kwa yeye kutaka, hivyo ukimuona tu ujue kuwa anaweza akaliwa baada ya robo saa, nusu saa, masaa kadhaa, kesho, keshokutwa, wiki ijayo nk
✍️Kuna wanaume wengine wameshakula, (lbda jana, juzi, wiki iliyopita nk) bado wanatetea nafasi tu.
✊ Tumia akili ya hali ya juu pale unapojiwekea nafasi kwa mwanamke yeyote ili uwe salama katika hii ligi.
Tumia kinga, uwe flexible kuachwa, usiwe na wivu, usimpe attention yako sana kiasi cha kuyasahau maendeleo yako katika nyanja zingine za maisha.
NOTE: Ni asilimia ndogo sana ya wanawake ( even below 5%) walio na mtu mmoja.
Kaka nakuomba kidogo PM mkuu nashida kidogo .....nakuhitaj kama afisa afya PMMwanamke ana Mwanaume Mmoja tu ambaye ni BABA YAKE.!!!.
Kawaida tu tushazoeaPoleni jamani inauma sana
💯%Mwanamke ana Mwanaume Mmoja tu ambaye ni BABA YAKE.!!!.
Mimi nalala vizuri sana. Siku anahamia nilikuwepo na najua analipa mwenyewe.Ni hatari sana kulala nyumba aliyopanga mwanamke.
Very risk, tujitahidi tuwezavyo tusilale majumbani kwa wanawake unless iwe nyumba ulitafuta wewe na kodi unalipa wewe vinginevyo utakufa kizembe sana
Wanawake ni viumbe watamu ukiwa unawagegeda ila ni mashetani baada ya hapoKuna dem nimewai kukutana nae. Dem alikua amepanga anaishi mwenyewe. Baada ya kumtongoza na penzi kusogea sogea mbele, nikaenda geto kwa siku moja usiku, kweli nikamkuta mwenyewe, stori kadhaa, nikapiga nikasepa. Ikawa tabia, kwa wiki lazima niende mara mbili au tatu, mana mi sina geto naishi hom. Dem nimepiga sana na alikua ananielewa sana. Ila dakika za mwisho dem nashangaa siku moja ananipa onyo kwamba saivi usiwe unakuja bila taarifa maana mme wangu wamekuja. Niliishiwa nguvu. Ni kitu ambacho alikua hajawai kuniambia hata siku moja. Tangu siku hiyo sijawai kumjibu sms wala kupokea simu zake. MADEMU[emoji1430]
Mungu ni mwema na akawe mfariji wenu 🙏Kawaida tu tushazoea