Kama una ushamba na wanawake fahamu haya

Kama una ushamba na wanawake fahamu haya

Mbunye zipo nyingi tugawane bila choyo. Nimetoka Kariakoo sshv nimekutana na mbunye kibao. Nimepita Mlimani City pale zipo kibao. Nipo Mbezi sshv zipo kibao. Ni swala la kuchukua moja unaisugua then unaiacha shambani wengine
Unamuamini demu kumbe katoka analiwa na wahuni kama hawa.
 
Hih inanikumbusha tukio moja kuna manzi mmoja nilimuelewa sana bahati mbaya siku moja wakati kaja ghetto naichakata mbususu usiku wa saa sita akapiga jamaa wakati huo cm yake nilikuwa nimeishika nikaipokea, kupokea alikuwa jamaa ambae nikagundua alikuwa jamaa yake, yule jamaa akataka kuwa mkali nikamtuliza mana hata mimi iliniuma kimtindo ila nilipo ona jamaa kaumia zaidi nikapata nguvu, kuona jamaa ameumia nikamwambia acha kujipa pressure ameamua mwenyewe kujifanya kama kiwanja unacheza wew muda huu then badae anakuja mwingine, demu kumbe alikuwa anasikia akanimaindi akataka kwenda kw jamaa lakin jamaa ndiyo akawa hamtaki kabisa na mwisho akajiona mjinga mwenyewe namim sikumuonyesha chochote kama nimemaindi nilikuwa normal tu.
 
Hih inanikumbusha tukio moja kuna manzi mmoja nilimuelewa sana bahati mbaya siku moja wakati kaja ghetto naichakata mbususu usiku wa saa sita akapiga jamaa wakati huo cm yake nilikuwa nimeishika nikaipokea kupokea alikuwa jamaa ambae nikagundua alikuwa jamaa yake, yule jamaa akataka kuwa mkali nikamtuliza mana hata mimi iliniuma kimtindo ila nilipo ona jamaa kaumia zaidi nikapata nguvu, kuona jamaa ameumia nikamwambia acha kujipa pressure ameamua mwenyewe kujifanya kama kiwanja unacheza wew muda huu then badae anakuja mwingine, demu kumbe alikuwa anasikia akanimaindi akataka kwenda kw jamaa lakin jamaa ndiyo akawa hamtaki kabisa na mwisho akajiona mjinga mwenyewe namim sikumuonyesha chochote kama nimemaindi nilikuwa normal tu.
Safii, Ulimpa Jamaa Ushauri Murua!
 
Mbunye zipo nyingi tugawane bila choyo. Nimetoka Kariakoo sshv nimekutana na mbunye kibao. Nimepita Mlimani City pale zipo kibao. Nipo Mbezi sshv zipo kibao. Ni swala la kuchukua moja unaisugua then unaiacha shambani wengine wale
U have spoken the truth brother. Tuache uchoyo mbususu ni za wetu sote
 
Hih inanikumbusha tukio moja kuna manzi mmoja nilimuelewa sana bahati mbaya siku moja wakati kaja ghetto naichakata mbususu usiku wa saa sita akapiga jamaa wakati huo cm yake nilikuwa nimeishika nikaipokea kupokea alikuwa jamaa ambae nikagundua alikuwa jamaa yake, yule jamaa akataka kuwa mkali nikamtuliza mana hata mimi iliniuma kimtindo ila nilipo ona jamaa kaumia zaidi nikapata nguvu, kuona jamaa ameumia nikamwambia acha kujipa pressure ameamua mwenyewe kujifanya kama kiwanja unacheza wew muda huu then badae anakuja mwingine, demu kumbe alikuwa anasikia akanimaindi akataka kwenda kw jamaa lakin jamaa ndiyo akawa hamtaki kabisa na mwisho akajiona mjinga mwenyewe namim sikumuonyesha chochote kama nimemaindi nilikuwa normal tu.
U r a MAN!
 
Kuna dem nimewai kukutana nae. Dem alikua amepanga anaishi mwenyewe. Baada ya kumtongoza na penzi kusogea sogea mbele, nikaenda geto kwa siku moja usiku, kweli nikamkuta mwenyewe, stori kadhaa, nikapiga nikasepa. Ikawa tabia, kwa wiki lazima niende mara mbili au tatu, mana mi sina geto naishi hom. Dem nimepiga sana na alikua ananielewa sana. Ila dakika za mwisho dem nashangaa siku moja ananipa onyo kwamba saivi usiwe unakuja bila taarifa maana mme wangu wamekuja. Niliishiwa nguvu. Ni kitu ambacho alikua hajawai kuniambia hata siku moja. Tangu siku hiyo sijawai kumjibu sms wala kupokea simu zake. MADEMU[emoji1430]
 
Kinachokuja kuumiza ni ile trust fake alioitengeneza kwako ili umuamini ni mgumu kugegedeka dah[emoji26] kumbe wenzio wanambuluza mpaka mitaroni we mixture kumgharamia.god save us
Hapo ni ile unakua bado huna unlock kama wenzio
 
Asilimia kubwa (zaidi ya 95%) ya wanawake wa leo wana wanaume zaidi ya mmoja. Usidanganywe na uzuri, dini, kabila, upole nk. Hivyo fahamu kuwa, kila demu anayelika unayekutana naye;

✍️Kuna wanaume wapya anakutana nao wanaomuwazia mipango ya kumfunua sketi,

✍️Kuna wanaume wengine anajuana nao na wameshamuwekea mitego ya kumla kimasihara au kwa yeye kutaka, hivyo ukimuona tu ujue kuwa anaweza akaliwa baada ya robo saa, nusu saa, masaa kadhaa, kesho, keshokutwa, wiki ijayo nk

✍️Kuna wanaume wengine wameshakula, (lbda jana, juzi, wiki iliyopita nk) bado wanatetea nafasi tu.

✊ Tumia akili ya hali ya juu pale unapojiwekea nafasi kwa mwanamke yeyote ili uwe salama katika hii ligi.

Tumia kinga, uwe flexible kuachwa, usiwe na wivu, usimpe attention yako sana kiasi cha kuyasahau maendeleo yako katika nyanja zingine za maisha.

NOTE: Ni asilimia ndogo sana ya wanawake ( even below 5%) walio na mtu mmoja.
... na hata hao 5% umesahau kusema wapo kwenye hatari kubwa.
 
...dakika za mwisho dem nashangaa siku moja ananipa onyo kwamba saivi usiwe unakuja bila taarifa maana mme wangu wamekuja. Niliishiwa nguvu. Ni kitu ambacho alikua hajawai kuniambia hata siku moja. Tangu siku hiyo sijawai kumjibu sms wala kupokea simu zake. MADEMU
emoji1430.png
Hahahaha...
Ulikuwa una-beep kifo!
Kuingia au kulala kwa nyumba ya mwanamke ni hatari sana!
 
Back
Top Bottom