Wao wenyewe hajamaliza shida zao ndiyo ahamie kwa LissuSiko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sio hoja. Mungu amatenda kwa utashi wake kwa mtu yeyote anayemtaka.Wao wenyewe hajamaliza shida zao ndiyo ahamie kwa Lissu
Mipango ya Mungu huwa ni complex sana. Watu wachache sana huwa wanaelewa na kupingwa na wengi.Kumbe anaandaliwa kulisave taifa, nilikuwa namsikia steve harvey akisema in every moment of adversity there's opportunity and lesson kipindi ana host miss world kama sijakosea alipokosea kumtaja mshindi akataja wa mexico😂😂
Mungu mkuu wa Israel anahusika vipi na Tanzania aanze kwanza kutatua mgogoro wa Israel na palestina waache kuuana na kumwaga damu akimalizia aje TanzaniaKwa maono yako. lakini Mungu Mkuu wa Israel halinganishwi na mawazo kama yako.
Ukapimwe akiliSiko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.
Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.
Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.
2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli
3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme
4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.
5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.
Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.
Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.
Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.
Mungu analete Ukombozi.
Mungu akutendee hivyo na kuzidiUkapimwe akili
Ameeni MtumishiNaunga mkojo ona
Vita yao ni kwa ajili ya Mungu. Ustarajie vitaisha. Ni vita ya Mungu mwenyeweMungu mkuu wa Israel anahusika vipi na Tanzania aanze kwanza kutatua mgogoro wa Israel na palestina waache kuuana na kumwaga damu akimalizia aje Tanzania
Unaweza ukawa sahihi,ila Lissu sharti asiwe ndani ya CHADEMA, yaani uruke mkojo ukanyage 'mimavi' (chaggadema)?Siko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.
Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.
Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.
2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli
3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme
4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.
5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.
Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.
Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.
Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.
Mungu analete Ukombozi.
Acha kunajisi nafasi MUHIMU ya uraisi wa nchiSiko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.
Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.
Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.
2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli
3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme
4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.
5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.
Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.
Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.
Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.
Mungu analete Ukombozi.
Muulize kwa chama gani then ni tag?[emoji38]Ona hii ngedere
Sawa mawazo yako ni haki yako.Unaweza ukawa sahihi,ila Lissu sharti asiwe ndani ya CHADEMA, yaani uruke mkojo ukanyage 'mimavi' (chaggadema)?
Kupitia chama kipi?Mungu amlinde na kumfanikisha kuwa walii wetu wa Taifa
Inakuwaje katika amri za Mungu anasema na usiuwe inamaanisha wa Israel na palestina wana haki ya kuuana mbona sisi binadamu hatupendi wale watu wauwane? Unaiona ile nembo ya bibi na bwana hiyo ndiyo siri kuu ya hii nchi siyo Mungu wa waisraeliVita yao ni kwa ajili ya Mungu. Ustarajie vitaisha. Ni vita ya Mungu mwenyewe
Hata wewe ni roho katika umbo la mwili.Lissu sio mwili aa kawaida. Ile ni Roho ktk umbo la kimwili.
Wee na wewe ni kichaa kama lissuSiko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.
Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.
Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.
2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli
3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme
4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.
5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.
Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.
Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.
Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.
Mungu analete Ukombozi.
Wapo watu walikuwa na dharau sana akina Nebkadneza lakini waliishia kugeuka Hayawani wakala majani na baadae wakakiri Mungu aliyehai wa Milele ni wa IsraeliAcha kunajisi nafasi MUHIMU ya uraisi wa nchi