Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,155
Mungu kila anayemtaka hata kama wanadamu hawataki ndio Ukuu WakeMungu amlinde na kumfanikisha kuwa walii wetu wa Taifa
Kaibukia BagamoyoMackenzie
Kungekuwa hakuna tofauti yoyote kati yao hata wafuasi wao wangekuwa kitu kimoja.Jamani mnataka tuanze kurudi nyuma kweli? Sioni tofauti yoyote kati ya JPM na Lisu
Eti bwana si wangekuwa kitu kimoja tu kama hawana tofautiπ πKungekuwa hakuna tofauti yoyote kati yao hata wafuasi wao wangekuwa kitu kimoja.
Ndoto unajua ni vision?Hizi ni ndoto za alinacha.
Ni vyema kujipa matumaini.Ndoto unajua ni vision?
Haina shidaNi vyema kujipa matumaini.
Ameen ameenMawazo ya Mungu si kama ya wanadamu shauri la Bwana lisimame
Ngoja tusubiri tuoneMuda utaongea...
Hutaki Demokrasia na Uhuru wa kutoa maoni? Unadhani unayemkejeli kwenye kichwa cha uzi huu atakuelewa?? Au hujui kuwa unamkejeli?? Unadhani wanaompenda watakuelewa?Mkuu ungepita kimya kimya tu. Huna sababu ya kutukana.
Yaani wachangiaji woote hawa wewe tu ndio umeona Kejeli?Hutaki Demokrasia na Uhuru wa kutoa maoni? Unadhani unayemkejeli kwenye kichwa cha uzi huu atakuelewa?? Au hujui kuwa unamkejeli?? Unadhani wanaompenda watakuelewa?
Wanakuchora tu, Mkuu wangu. Hujawajua watu wa upande huu.Yaani wachangiaji woote hawa wewe tu ndio umeona Kejeli?
π π π sio kweli acha hisia mbayaWanakuchora tu, Mkuu wangu. Hujawajua watu wa upande huu.
Mkuu, nakushauri usome comments zote katikati ya mstari. Utakuja kunishukuru baadaye.π π π sio kweli acha hisia mbaya