Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #61
Mungu akutendee hivyo na kuzidiWee na wewe ni kichaa kama lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akutendee hivyo na kuzidiWee na wewe ni kichaa kama lissu
Hana busara,hashauriki,ni mjuaji sana na anataka yeye ndiye aonekane anajua kuliko WengineMskilize vizuri mtumishi wa Mungu TL. Usipokuwa maki i unaweza kudhani Lissu ni mkali sana na wenye visasi
Okay ni sahihi kuitwa hivyo na watu anaowazidi uelewa.Hana busara,hashauriki,ni mjuaji sana na anataka yeye ndiye aonekane anajua kuliko Wengine
Kwamba amemzidi hadi Mwenyekiti wa chama siyo?Okay ni sahihi kuitwa hivyo na watu anaowazidi uelewa.
Mbona mwehu Magufuli amekaa ikulu miaka sita?Kichaa Lisu hawezi kuwa Rais wa Tanzania
Hayo ni yako binafsi sijaja kubishana na mtu hapa.Kwamba amemzidi hadi Mwenyekiti wa chama siyo?
NA NDO UKWELI ULIVYO. ANAOMBEWA ALIYE HAI ABADILIKE AJUTIE MAKOSA YAKE. KAMA MTU KAFA KAKAMILISHA HESABU KARUDISHA DAFTARI KWA SIR GOD.Sisi tulio hai ndio tunamwombea sio yeye aliyekufa.Aliyekufa mambo yake yoote yamefungwa kazi imebaki kwa Mungu
😅😅😅NA NDO UKWELI ULIVYO. ANAOMBEWA ALIYE HAI ABADILIKE AJUTIE MAKOSA YAKE. KAMA MTU KAFA KAKAMILISHA HESABU KARUDISHA DAFTARI KWA SIR GOD.
Hayo yoote mwachie Mungu anaenda kudhughulika nayoBaada ya kifo, HUKUMU,
Ishi maisha ya Utakatifu duniani, tengeneza na Muumba Ukiwa hai.
RIP ni UWONGO. Hayupo anayeweza kuombea marehemu akasikiwa.
Kuhusu Lissu sikubishii, tatizo halipo Kwa WAPIGA kura kumchagua, Bali tatizo lipo Kwa wahesabu kura na watangaza mshindi!!!!!
Siko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.
Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.
Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.
2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli
3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme
4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.
5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.
Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.
Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.
Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.
Mungu analete Ukombozi.
Kumbe na wewe unaliona hilo?Kama kuna siku mpinzani atashika hii nchi, wa kwanza atakuwa Lisu
Wewe ndiye huwapima watu kuweza kuwatambua vichaa?Kichaa Lisu hawezi kuwa Rais wa Tanzania
Na akiwa rais mtatajana watu mliotumwa na dhalimu kumshambulia kwa risasi.Kichaa Lisu hawezi kuwa Rais wa Tanzania
Acha iwe hivyo hivyo ili kila mtu ajue umuhimu wa katiba bora.Jamani mnataka tuanze kurudi nyuma kweli? Sioni tofauti yoyote kati ya JPM na Lisu
We kimaOna hii ngedere
Uharo mtupu huo unaitwa uchawaSiko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.
Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.
Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.
2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli
3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme
4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.
5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.
Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.
Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.
Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.
Mungu analete Ukombozi.
Mungu akutende hivyo na kuzidi ukaharishe sana.Uharo mtupu huo unaitwa uchawa
😅😅😅Pengine angeweza kuwa Rais iwapo angekuwa hachechemei