Kama unaamini mambo ya kiroho utakubali kuwa Urais wa JMT unamtafuta Tundu Lissu

Kama unaamini mambo ya kiroho utakubali kuwa Urais wa JMT unamtafuta Tundu Lissu

Baada ya kifo, HUKUMU,

Ishi maisha ya Utakatifu duniani, tengeneza na Muumba Ukiwa hai.

RIP ni UWONGO. Hayupo anayeweza kuombea marehemu akasikiwa.

Kuhusu Lissu sikubishii, tatizo halipo Kwa WAPIGA kura kumchagua, Bali tatizo lipo Kwa wahesabu kura na watangaza mshindi!!!!!
 
Sisi tulio hai ndio tunamwombea sio yeye aliyekufa.Aliyekufa mambo yake yoote yamefungwa kazi imebaki kwa Mungu
NA NDO UKWELI ULIVYO. ANAOMBEWA ALIYE HAI ABADILIKE AJUTIE MAKOSA YAKE. KAMA MTU KAFA KAKAMILISHA HESABU KARUDISHA DAFTARI KWA SIR GOD.
 
Baada ya kifo, HUKUMU,

Ishi maisha ya Utakatifu duniani, tengeneza na Muumba Ukiwa hai.

RIP ni UWONGO. Hayupo anayeweza kuombea marehemu akasikiwa.

Kuhusu Lissu sikubishii, tatizo halipo Kwa WAPIGA kura kumchagua, Bali tatizo lipo Kwa wahesabu kura na watangaza mshindi!!!!!
Hayo yoote mwachie Mungu anaenda kudhughulika nayo
 
Siko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.

Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.

Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.

2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli

3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme

4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.

5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.

Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.

Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.

Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.

Mungu analete Ukombozi.

Kama kuna siku mpinzani atashika hii nchi, wa kwanza atakuwa Lisu
 
Kichaa Lisu hawezi kuwa Rais wa Tanzania
Wewe ndiye huwapima watu kuweza kuwatambua vichaa?

Isije ikawa ni wewe uliye kichaa, na yale unayoambiwa na watu huko mitaani, ndiyo nawe unayatamka dhidi ya wengine.

Jitahidi ufike hospitali mapema.
 
Siko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu.
Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo.

Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge kudharauliwa wanazidi kustawi.

Mfano
1. Daniel alitupwa kwenye shimo la simba wakamuonea huruma sana wakijua hakuna namna anaweza kupoma lakini at the end hakudhurika baadae akawa mkuu wa serikali ya Umedi na Uajemi.

2. Daudi alikoswa koswa mikuki ya Mfalme Sauli na baadae akatawazwa kuwa Mfalme wa Dola ya Israeli

3. Mfalme Ithibosheti anafariki akiwa Mfalme aliyetawala kipindi kifupi kuliko woote ili kupisha njia kwa Daudi kuwa mfalme

4. Yehoyakimu anateuliwa kuwa Mfalme wa Yudea baada ya Yosia kuuawa vitani na Farao Neko kule Megido.

5. Kwamba, Yeroboam anatoroka na kukimbilia Misri ili asiuawe lakini aliporudi baada ya Kifo cha Suleiman(mhasimu wake) anapakwa mafuta na Kuwa Mfalme wa Samaria.

Haya maandiko Matakatifu hayawezi kwenda bure. Labda kama Mungu tunayemwamini si huyu wa Israeli.

Mungu anapotaka kuleta Ukombozi kwa watu wake anahakikisha hakuna Mchanganyo wa Mbengu. Anahakikisha kizazi kilichochafua Zabibu zake hakihusiki kwenye Ukombozi.

Nawatakia Msiba Mwema tuwaombea msamaha waliotangulia woote.

Mungu analete Ukombozi.
Uharo mtupu huo unaitwa uchawa
 
Back
Top Bottom