Kama unaamini Samia anapendwa na watanzania, unaweza kueleza ni kwanini?

Kama unaamini Samia anapendwa na watanzania, unaweza kueleza ni kwanini?

Hiyo bei ya korosho Bado ni ya chini Sana. Halafu Samia anahusika vipi na kuongezeka Kwa bei ya korosho?
Ya chini sana kulinganisha na ipi?

Ingekuwa ya chini sana Wananchi wangefurahia na kushangilia Kwa kumpa heko Rais? Unatapatapa 😆😆😆

Mwisho anahusika Kwa kuondoa middle men,kuwapa pembejeo za Bure,kuleta mfumo wa uuzaji wa online TMX na anahusika Kwa kurudisha wanunuzi ambao walikimbia awamu ya 5.

Unajitoa ufahamu si ndio? Bado hujasema Hadi useme 👇👇

View: https://x.com/HusseinBashe/status/1845813133589291441?t=aoIw2joMznjct1T6CLJVZw&s=19

Mwisho niendelee kukuonesha jinsi anahusika?
 
Kuna watu wanadai kuwa Samia Suluhu Hassan "anapendwa sana" na watanzania.

Kama kweli Samia anapendwa sana kiasi hicho na watanzania. Unaweza kusema ni kitu gani hasa alichofanya mpaka watanzania wampende?
'Aliwekeza' bandari na loliondo tukapata faida kubwa 😂😂
 
Minaona tungefanya kupiga kura za maoni hapa Jf kidogo ingeonuesha uhalisia kama anakubalika ama hakubaliki
Soma mada, kama hauna cha kuchangia kwenye mada. Kaa kimya. Swali lipo wai kabisa.

Huu ni uzi kwa tunaompenda tu, kwanini tunampenda.
 
Kuna watu wanadai kuwa Samia Suluhu Hassan "anapendwa sana" na watanzania.

Kama kweli Samia anapendwa sana kiasi hicho na watanzania. Unaweza kusema ni kitu gani hasa alichofanya mpaka watanzania wampende?
Kwa vile tu maiti, hatujui chochote
 

Attachments

  • KENYATTA.mp4
    3 MB
Mama Samia Sio mla rushwa na hana mpango kula rushwa karidhika na apatacho kiwe kikubwa au kidogo
 
Kuna watu wanadai kuwa Samia Suluhu Hassan "anapendwa sana" na watanzania.

Kama kweli Samia anapendwa sana kiasi hicho na watanzania. Unaweza kusema ni kitu gani hasa alichofanya mpaka watanzania wampende?
Ngoja tumsubiri Steve nyerere 😀
 
1728923997692.jpg
 
Mkuu,

Sidhani kama kuna mtu anamhitaji!!

Tafadhali anzisha mchakato wa polling vote kwenye majina yafuatayo ndio yataonesha dira halisi
1. John Mnyika
2. Addo Shaibu
3. Samia Suluhu
4. Tundu Antipas Lissu
5. Luhaga Joelson Mpina
6. Boniface Anyisile Kajunjumule Mwabukusi
9. Kasimu Majaliwa
10. Freeman Aikael Mbowe
11. James Mbatia
12. John Pambalu
13. John Heche
14. Mohamed Mchengerwa
15. Hussein Mwinyi
16. January Makamba
17. Paul Christian Makonda
18. Ridhiwan Kikwete
19. Dr Doroth Gwajima
20. Queen Sendiga
21. Dr. Thabit Kombo
22. Dr Emanuel Nchimbi
23. Dr. Bashiru Ally Kakurwa
24. David Kafulila
25. Dotto Mashaka Biteko

Mmojawapo kati ya hao hapo juu ndio atakuwa rais 2025-2030
Binafsi bila ukanda, udini wala chochote kingine chenye ishara ya ubaguzi wowote namuona kwa sasa Boniphace Kajunjumele Mwabukusi ana uzalendo wa hali ya juu sana katika kulitetea au kuliongoza taifa hili maana hana chembe za usaliti na anaipenda sana Tanganyika na Tanzania kwa ujumla. Lissu huwa kidogo ana ka element kakujikomba kwa wazungu kwahiyo ni rahisi kuwa compromised ukimlinganisha na Mwabukusi.
 
Kuna watu wanadai kuwa Samia Suluhu Hassan "anapendwa sana" na watanzania.

Kama kweli Samia anapendwa sana kiasi hicho na watanzania. Unaweza kusema ni kitu gani hasa alichofanya mpaka watanzania wampende?

1. Ana machawa wengi kuliko Raisi yeyote aliyewahi kupita
2. Kabinafsisha bandari na kuweka mkataba wa siri
3. Kawadanganya wakina mbowe kwa mwaka mzima
4. Utekaji hasa wa upinzani umeshamiri
5. Anapendwa sana na kutandikiwa zulia kila aendapo na ana magari mengi sana ya serikali kwenye misafara hata pale pasipo na ulazima
6. Amekataa kuweka katiba mpya ya kuwasaidia watanzania na kuleta maendeleo ingawa kila mtu anakibali ni muhimu.
7 . Hapendi kuzidiwa umashuhuri waulize mama Mulamula na Makamba
8. Amekuwa mwongo wa kuahidi vitu ambavyo na watanzania wanasahau mfano ripoti za mauaji ni danganya toto
9. Uchaguzi anataka kuiba na kuvunja rekodi ya Magufuli ya 2019.

Haya ni mafanikio makubwa ya Mama
 
Back
Top Bottom