Kama unaamini Samia anapendwa na watanzania, unaweza kueleza ni kwanini?

Kama unaamini Samia anapendwa na watanzania, unaweza kueleza ni kwanini?

Hiyo ni aina tu ya usafiri na wala si alama ya maendeleo. Treni ziko siku nyingi kutokuwa na treni kama hizo zinazotumiwa sasa hivi ni uchelewevu usio na sababu. Kwani CHADEMA hawalipi kodi?

chadema tunafanya ulinganisho wa nyakati na tulicho nacho sasa. Kwa mfano mtoto wa miaka 15 akianza darasa la kwanza ni maendeleo, lakini atakuwa amechelewa kusoma shule.
makamanda wa chadema wangeweza kutumia usafiri wa barabara, wangeweza kutumia usafiri wa anga n.k

na hiyo ni alama tosha kwamba Tanzania katika masuala ya miundombinu, usafiri na usafirishaji kuna maendeleo makubwa sana yanaonekana na ni suala la mwananchi kuamua atumie nini kusafiri :pulpTRAVOLTA:

masula ya ulinganisho fanyeni huko kwenye vikao vya ndani ya chama chenu ili mkiyatoa nje mpate majibu sahihi ya kina kwa upotofu wenu...

kuliko hii ya wenzako wanaenjoy ndani ya sgr wewe unalalamika ndani ya jf, si sawa:pedroP:
 
Kila mtu ana mazuri yake na madhaifu yake kwa upande wangu mtumishi nafurahia kujali maslahi yetu japo tukirudi kwenye manunuzi ya bidhaa sokon tunapigwa vitasa vizito saan

Mitano tena kwa mama. Mama samia mama tuko na wewe bega kwa bega
 
Hebu weka hapa hizo takwimu.
Hapa ni mwezi Jana tuu Bado sijaweka za Walimu,madakyari,Mapolisi,Kada zinginezo za mwaka huu tuu 👇👇
Screenshot_20241014-182534.jpg
 
Hapa ni mwezi Jana tuu Bado sijaweka za Walimu,madakyari,Mapolisi,Kada zinginezo za mwaka huu tuu 👇👇
Ajira kwa watu 800 kati ya malaki ya vijana wanaomaliza shule kila mwaka ni sawa?? Au ukiwa chawa ni lazima na tabia za kichawi pia uwe nazo??
 
Bado hujajibu swali kabisa.

Uhitaji wa ajira ni kiasi gani na ajira zinazotolewa ni ngapi?
Acha kutaoatapa wewe kima,nimeshakwambia Maelfu ya Ajira zilizotolewa ndio zilizohitajika.

Hakuna mwingine Toka enzi za JK amewahi mwaga hayo maelfu ya Ajira.

Mwisho Nina sababu Bilioni za kukuonesha kuhusu samai,Hilo la Ajira ni Moja tuu.
 
,nimeshakwambia Maelfu ya Ajira zilizotolewa ndio zilizohitajika.
Mashule hayana waalimu wa kutosha, zahanati zinaendeshwa na manesi pekee, kila mahali kuna upungufu wa watumishi, wewe unaita ajira maelfu zimemwagwa😀😛
 
Kuna watu wanadai kuwa Samia Suluhu Hassan "anapendwa sana" na watanzania.

Kama kweli Samia anapendwa sana kiasi hicho na watanzania. Unaweza kusema ni kitu gani hasa alichofanya mpaka watanzania wampende?
Kuna watu wanadai kuwa Samia Suluhu Hassan "anapendwa sana" na watanzania.

Kama kweli Samia anapendwa sana kiasi hicho na watanzania. Unaweza kusema ni kitu gani hasa alichofanya mpaka watanzania wampende?
Lucas Mwashambwa jibu hii hoja
 
Nyonge nyongeni lakini haki yake mpeni....Binafsi naona tabasamu kuanzia Serikalini hadi mtaani.
Nakumbuka Kuna watu walikimbia Nchi na wengine kuogopa kufungua midomo Yao juu ya utawala uliopita.
Najua nitapingwa lakini huo ndio ukweli,Mh.Rais wa JMT Dr.Samia Suluhu Hassan ni kiongozi ambaye kadri siku zinavyo kwenda anaendelea kukamilisha na kuanzisha miradi mingine ya kimkakati yenye tija kwa maendeleo ya watu na Nchi kwa Ujumla.
Kuhusu Demokrasi na utawala Bora naweza kusema masuala hayo yanaendelea kufanyiwa kazi ikiwa ni pamoja na uanzishaji wa Tume ya haki Jinai na kuboresha mifumo ya Serikali kutoa na kuharakisha maendeleo na haki za msingi kwa watu.
 
Hayo maelfu ya Ajira za Walimu yanaenda Kufanya kazi gani Sasa? 😆😆

Acha kutaoatapa.Wakulima wa Korosho na vibe la bei kubwa ambayo haijawahi fikiwa kabla
Hiyo bei ya korosho Bado ni ya chini Sana. Halafu Samia anahusika vipi na kuongezeka Kwa bei ya korosho?
 
Back
Top Bottom