Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
nadhani umoja, amani na utulivu wa waTanzania ni imara zaidi ndio kwasababu hatua na malengo ya taifa kimaendeleo kijamii, kisiasa na kiuchumi yanafikiwa kirahisi zaidi.Tofauti ya Tanzania ya Zanzibar ni nini?
umoja na amani ya waTanzania ndio hasa chimbuko la mafanikio haya yote
