Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie huyoSwitzerland pato la mwanchi ni 250M kwa mwaka
Tanzania pato la mwanachi ni 3M kwa mwaka
Unadhani Switzerland wanalipwa mshahara wa million moja kama Bongo ?View attachment 3222429
Choma nyama wakuu Tanzania bado tupo vizuri bei bado very friendly Tanzania shilling 10000 unapata kilo ya nyama sawa na us dollar 4 wakati Switzerland anatumia takribani dollar 44 kwa kilo sawa Tz shilling 100,000/= plus.
Unazijua takwimu vizuri? Unajua mtu mmoja Uswiz anakula kilo ngapi za nyama kwa mwaka? Kisha linganisha na Mtanzania anakula kilo ngapi za nyama kwa mwaka ndio ulinganisha bei.View attachment 3222429
Choma nyama wakuu Tanzania bado tupo vizuri bei bado very friendly Tanzania shilling 10000 unapata kilo ya nyama sawa na us dollar 4 wakati Switzerland anatumia takribani dollar 44 kwa kilo sawa Tz shilling 100,000/= plus.
Mbona kawaida tu ukizingatia kipato chaoView attachment 3222429
Choma nyama wakuu Tanzania bado tupo vizuri bei bado very friendly Tanzania shilling 10000 unapata kilo ya nyama sawa na us dollar 4 wakati Switzerland anatumia takribani dollar 44 kwa kilo sawa Tz shilling 100,000/= plus.
Kweli kakumamotoUnazijua takwimu vizuri? Unajua mtu mmoja Uswiz anakula kilo ngapi za nyama kwa mwaka? Kisha linganisha na Mtanzania anakula kilo ngapi za nyama kwa mwaka ndio ulinganisha bei.
Hongera unaishi mtoniGoogle wakati mwingine inakupa wrong info. Tupo ground huku. Nyama naweza kuipata kwa euro 9 kwa kilo. Halafu nyama huku haziuzwi kama huko. Kila sehemu ya ng'ombe ina bei yake. Na kingine mshahara siyo kama huko. Hapa ukifanya kazi lisaa limoja tayari unapata fedha ya kununua kilo ya nyama.
Mkuu mi nimebase kwenye bei ya nyama kuhusu tofauti ya uchumi ni jambo linguine
Switzerland pato la mwanchi ni 250M kwa mwaka
Tanzania pato la mwanachi ni 3M kwa mwaka
Fact inabaki kuwa Switzerland kilo ya nyama ni gharama kulinganisha na sehemu nyingine za duniaUnathubutu kutulinganisha na wazungu [emoji3064] eeeh
Watu wanaotumia mifano kama hii Huwa nawaona ni Wapumbavu wa Kiwango Cha juu Sana...!View attachment 3222429
Choma nyama wakuu Tanzania bado tupo vizuri bei bado very friendly Tanzania shilling 10000 unapata kilo ya nyama sawa na us dollar 4 wakati Switzerland anatumia takribani dollar 44 kwa kilo sawa Tz shilling 100,000/= plus.
Wakati Tanzania GDP ni kati ya 50 hadi 70. Maana yake Uswizi iko mara 10 zaidi kiuchumi kuliko Tanzania. Jamaa anataka alinganishe purchasing power ya Waswizi na watanzania kweli?Acha kulinganisha vitu viwili tofauti, sbb huelewi ni kama kukulinganisha uwezo wako wewe kifedha na mali zako vs Bahressa..!!
View attachment 3222434View attachment 3222443
Achana na huyo jamaa, elimu ya shule hana!!😂😂😂Nawewe kawaulize huko Switzerland kama wanalipwa mishahara ya laki 3 tatu kama uku kwenu.
Mkuu mbona Kila kitu kipo wazi kuwa Switzerland bei ya kilo ya nyama ipo juu kuliko mataifa mengine regardless ya ukubwa wa uchumi waoHujui uchumi, uwezo mkubwa wa uchumi wa nchi na wananchi wake, ndio kigezo cha kuweza kununua bei ya commodities hata ziwe ghali, income yao ni kubwa sana per each individual in Swiss, sasa utalinganisha bei hata ya parachichi Swiss ni karibu 3 to 4 Swiss Fracs equivalent to $ 3.13 to $ 4.17 meaning parachichi in Swiss ni Tz 10,000
So uwezo wao ni tofauti na sisi, labda wewe mgeni humu duniani ndio mara yako ya kwanza kutembea nchi mbalimbali
Bwege ww kula nyamaAchana na huyo jamaa, elimu ya shule hana!!😂😂😂