Kama unahisi bei ya nyama ipo juu basi waulize wakazi wa Switzerland USD 44 kwa kilogram 1.

Kama unahisi bei ya nyama ipo juu basi waulize wakazi wa Switzerland USD 44 kwa kilogram 1.

Unazijua takwimu vizuri? Unajua mtu mmoja Uswiz anakula kilo ngapi za nyama kwa mwaka? Kisha linganisha na Mtanzania anakula kilo ngapi za nyama kwa mwaka ndio ulinganisha bei.
USD 4 na USD 44 Zinafanana?? Switzerland ndio nchi pekee yenye uchumi mkubwa?? Mbona mataifa mengine bei ipo chini ukilinganisha sio Kila kitu Cha kubisha
 
Nimeuziwa nusu kilo 6000 leo au nimepigwa
 
Kati ya nchi zenye maisha mazuri sana duniani kwa raia wake ni Switzerland.
 
View attachment 3222429

Choma nyama wakuu Tanzania bado tupo vizuri bei bado very friendly Tanzania shilling 10000 unapata kilo ya nyama sawa na us dollar 4 wakati Switzerland anatumia takribani dollar 44 kwa kilo sawa Tz shilling 100,000/= plus.
Nyie ndo mnatafuta sababu za KUPIGA pesa za Kodi na ruzuku aimake sense kulinganisha Tanzania na nchi yoyote nje ya Africa,
 
Gifted fool...
Toa ujinga wako.. kilo ya nyama ni universal kg ya nyama hapa kimara ndio hiyo hiyo kg1 ya nyama Europe utofauti mkubwa wa bei unaleta maswali uchumi unaweza kuwa jibu ila sio conclusion
 
Nyie ndo mnatafuta sababu za KUPIGA pesa za Kodi na ruzuku aimake sense kulinganisha Tanzania na nchi yoyote nje ya Africa,
Tatizo mnataka ligi isio na mantiki hii inaweza kuwa opportunity kwa wafugaji kufanya exportation ya nyama uswis wapate faida
 
View attachment 3222429

Choma nyama wakuu Tanzania bado tupo vizuri bei bado very friendly Tanzania shilling 10000 unapata kilo ya nyama sawa na us dollar 4 wakati Switzerland anatumia takribani dollar 44 kwa kilo sawa Tz shilling 100,000/= plus.
Mkuu elfu kumi Kwa Tanzania kuipata sio mchezo.
Day worker hapa nchini analipwa 10,000 per day. Sasa ufanye kazi siku Moja unique nyama?
Hailinganishwaji kiivyo.
 
Choma nyama wakuu Tanzania bado tupo vizuri bei bado very friendly Tanzania shilling 10000
Wapi huko nyama elf 10? Mmebarikiwa…

Huku mazee nyama mixer kg1 ni 12,000
Steak kg1 ni 15,000
 
Mkuu elfu kumi Kwa Tanzania kuipata sio mchezo.
Day worker hapa nchini analipwa 10,000 per day. Sasa ufanye kazi siku Moja unique nyama?
Hailinganishwaji kiivyo.
Kwani Tanzania Ina day worker pekee?? Kuna businessman wakubwa kwa wadogo wafanyakazi wa public na private sector ambao elfu kumi sio kitu..
 
View attachment 3222429

Choma nyama wakuu Tanzania bado tupo vizuri bei bado very friendly Tanzania shilling 10000 unapata kilo ya nyama sawa na us dollar 4 wakati Switzerland anatumia takribani dollar 44 kwa kilo sawa Tz shilling 100,000/= plus.

Masuala ya Kiuchumi yanafaa yajadiliwe na watu wa Uchumi
Mfano; Mshahara wa Nesi wa kawaida Switzerland ni wastani wa shs 15Milion kwa mwezi
sasa unataka mtu huyo anunue nyama bei sawa na mtu mwenye mshahara wa shs laki tano kwa mwezi

Ukipitia kiuchumi unaweza kuta hizo bei ni nafuu kuliko kwetu tukiuziwa shs 12,000 kwa kilo?
 
Masuala ya Kiuchumi yanafaa yajadiliwe na watu wa Uchumi
Mfano; Mshahara wa Nesi wa kawaida Switzerland ni wastani wa shs 15Milion kwa mwezi
sasa unataka mtu huyo anunue nyama bei sawa na mtu mwenye mshahara wa shs laki tano kwa mwezi

Ukipitia kiuchumi unaweza kuta hizo bei ni nafuu kuliko kwetu tukiuziwa 12000kilo???
Kwa hoja hiyo Unamaanisha pesa yetu Ina thamani kuliko ya Europe
 
Back
Top Bottom