rr4
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,797
- 5,510
Kundi la masikini na watu WA Bora mkono uende kinywani ni kubwa mno. 10 kwa 0.5 so si rahisi.Kwani Tanzania Ina day worker pekee?? Kuna businessman wakubwa kwa wadogo wafanyakazi wa public na private sector ambao elfu kumi sio kitu..
Elfu kumi ni hela kubwa hapa nchini.