Kama Unahisi Kupiga Sarakasi Kitandani kama Jet lii Kutamtuliza Mwanaume Mmefeli

Kama Unahisi Kupiga Sarakasi Kitandani kama Jet lii Kutamtuliza Mwanaume Mmefeli

Enheee...

Hapo sawa kabisa. Mi nimetoa mke sijaoa mbia wa maendeleo. Anipe nayoyahitaji ambayo siwezi kupewa na mama wala dada zangu... Akiamua kuchangia kwenye maendeleo hiyo ni added advantage
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Sawa babu maana na Umri si umesogea ulishobakisha mbele yako ni kaburi kwahiyo acha ujilie raha zako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](Jus kidding)
Nimepitia huko ujanani pia. Nimeutumia ujana vizuri. Sina nilichopoteza so far.

Sasa hao wamama kama hamtaki wawakukurukie... wakija kwetu wazee basi muache gubu LOL.
 
Wewe Cheza kareti ,Cheza judo kitandani ,Ruka samba soti kama bluce Lee,Nin'ginia kwenye kitanda kama jack chan, Binuka msamba kama Van Dame ,Kama hujatuliza akili na kujua nini mwanaume Anataka ,Utaishia kuchezewa tu...

Kwa kifupi wanaume Tunahitaji mwanamke Mwenye madini mengi kichwani na Si madini mengi Kitandani..

Tunahitaji mwanamke kichwa, Ambae Ataweza kukutoa mahali fulani na kukupeleka mahali kwingine.

Mchango wa Mwanamke katika mafanikio Ya mwanaume yeyote Duniani ni Mkubwa Sana ,na Ndomana ukiangalia wengi walo fanikiwa Nyuma yao kuna mwanamke Imara.

Wanaume Wengi Tunataka mwanamke Madhubuti ,na Si Mcheza kareti ama Judo ,Tunahitaji zaidi ya Haya kwa mwanamke...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....Ujumbe umefika mpaka Tanga.
 
Nimepitia huko ujanani pia. Nimeutumia ujana vizuri. Sina nilichopoteza so far.

Sasa hao wamama kama hamtaki wawakukurukie... wakija kwetu wazee basi muache gubu LOL.
Sawa babu ,wakija tutakuwa tunawaletea nyie wazee ,maana sie tunahitaji nguvu kazi za kupambana na kasi ya jpm
 
Wewe Cheza kareti ,Cheza judo kitandani ,Ruka samba soti kama bluce Lee,Nin'ginia kwenye kitanda kama jack chan, Binuka msamba kama Van Dame ,Kama hujatuliza akili na kujua nini mwanaume Anataka ,Utaishia kuchezewa tu...

Kwa kifupi wanaume Tunahitaji mwanamke Mwenye madini mengi kichwani na Si madini mengi Kitandani..

Tunahitaji mwanamke kichwa, Ambae Ataweza kukutoa mahali fulani na kukupeleka mahali kwingine.

Mchango wa Mwanamke katika mafanikio Ya mwanaume yeyote Duniani ni Mkubwa Sana ,na Ndomana ukiangalia wengi walo fanikiwa Nyuma yao kuna mwanamke Imara.

Wanaume Wengi Tunataka mwanamke Madhubuti ,na Si Mcheza kareti ama Judo ,Tunahitaji zaidi ya Haya kwa mwanamke...
hehehehe......sawa kabisa
 
Mbona Hao wapiga sarakasi wamekuwa chachu Kwenye kuvuruga ndoa zenu na Hao vichwa unaowasema kila siku mnawaliza na kuwaacha. Tatizo LA wanaume mnachokitafuta hamkijui bado na mkikipata hamkithamini.

Dhumuni la ndoa ni kuondoa zinaa Kwenye Jamii. Mengine ni mbwembwe. Kila mmoja achague kipendacho roho yake.

Haina maana ya ndoa Uoe Mwenye Akili kilichofanya Nyinyi mfunge ndoa hauridhiki nacho utachepuka tu na ndipo balaa linapoanzia.
 
Nasema sio kusemewa.
Kama kichwan upo vizur huna kidomodomo nakupa ruhusa ya kunshawishi anytime
 
Mbona Hao wapiga sarakasi wamekuwa chachu Kwenye kuvuruga ndoa zenu na Hao vichwa unaowasema kila siku mnawaliza na kuwaacha. Tatizo LA wanaume mnachokitafuta hamkijui bado na mkikipata hamkithamini.

Dhumuni la ndoa ni kuondoa zinaa Kwenye Jamii. Mengine ni mbwembwe. Kila mmoja achague kipendacho roho yake.

Haina maana ya ndoa Uoe Mwenye Akili kilichofanya Nyinyi mfunge ndoa hauridhiki nacho utachepuka tu na ndipo balaa linapoanzia.
Sawa mie mcheza kareti simstaki maana sina mpango wa kufunguwa chuo cha kareti
 
Back
Top Bottom