Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
- Thread starter
-
- #21
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Enheee...
Hapo sawa kabisa. Mi nimetoa mke sijaoa mbia wa maendeleo. Anipe nayoyahitaji ambayo siwezi kupewa na mama wala dada zangu... Akiamua kuchangia kwenye maendeleo hiyo ni added advantage
Nimepitia huko ujanani pia. Nimeutumia ujana vizuri. Sina nilichopoteza so far.Sawa babu maana na Umri si umesogea ulishobakisha mbele yako ni kaburi kwahiyo acha ujilie raha zako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](Jus kidding)
Wewe Cheza kareti ,Cheza judo kitandani ,Ruka samba soti kama bluce Lee,Nin'ginia kwenye kitanda kama jack chan, Binuka msamba kama Van Dame ,Kama hujatuliza akili na kujua nini mwanaume Anataka ,Utaishia kuchezewa tu...
Kwa kifupi wanaume Tunahitaji mwanamke Mwenye madini mengi kichwani na Si madini mengi Kitandani..
Tunahitaji mwanamke kichwa, Ambae Ataweza kukutoa mahali fulani na kukupeleka mahali kwingine.
Mchango wa Mwanamke katika mafanikio Ya mwanaume yeyote Duniani ni Mkubwa Sana ,na Ndomana ukiangalia wengi walo fanikiwa Nyuma yao kuna mwanamke Imara.
Wanaume Wengi Tunataka mwanamke Madhubuti ,na Si Mcheza kareti ama Judo ,Tunahitaji zaidi ya Haya kwa mwanamke...
Sawa babu ,wakija tutakuwa tunawaletea nyie wazee ,maana sie tunahitaji nguvu kazi za kupambana na kasi ya jpmNimepitia huko ujanani pia. Nimeutumia ujana vizuri. Sina nilichopoteza so far.
Sasa hao wamama kama hamtaki wawakukurukie... wakija kwetu wazee basi muache gubu LOL.
Magroup yao wanafundishana namna ya kukata kiuno hawa watu ni wa kuonea huruma sana mkuuumeona tena saivi kuna magroup wameanzisha kwa ajili ya kujazana ujinga
hehehehe......sawa kabisaWewe Cheza kareti ,Cheza judo kitandani ,Ruka samba soti kama bluce Lee,Nin'ginia kwenye kitanda kama jack chan, Binuka msamba kama Van Dame ,Kama hujatuliza akili na kujua nini mwanaume Anataka ,Utaishia kuchezewa tu...
Kwa kifupi wanaume Tunahitaji mwanamke Mwenye madini mengi kichwani na Si madini mengi Kitandani..
Tunahitaji mwanamke kichwa, Ambae Ataweza kukutoa mahali fulani na kukupeleka mahali kwingine.
Mchango wa Mwanamke katika mafanikio Ya mwanaume yeyote Duniani ni Mkubwa Sana ,na Ndomana ukiangalia wengi walo fanikiwa Nyuma yao kuna mwanamke Imara.
Wanaume Wengi Tunataka mwanamke Madhubuti ,na Si Mcheza kareti ama Judo ,Tunahitaji zaidi ya Haya kwa mwanamke...
Anyway kifupi kichwan kwanza
Lakin pia asiwe kidomodomo basiiiii sura sijui nin hayo ni mengineyo tu[/QUOTE mmh kweli
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] sio Tanga peke yake [emoji22][emoji1][emoji28]Mpaka mombasa umefika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....Ujumbe umefika mpaka Tanga.
wow....wanaume wachache wanaojituma kama ww jomoniiiiiiii!!!Mi ni mwanaume. Napenda mwanamke anayenifanyia mengi na mazuri kitandani, na kuilea familia yangu vuzuri.
Mambo ya maendeleo ya familia ni jukumu langu....
ujuwe tatizo lao wanahisi mwanaume anachotaka ni mapenzi tu kutoka kwao ,na ndomana wanafeli kila siku hawafanikiwi katuuMagroup yao wanafundishana namna ya kukata kiuno hawa watu ni wa kuonea huruma sana mkuu
umeona eeeehhehehehe......sawa kabisa
hahahahahhahaSawa babu ,wakija tutakuwa tunawaletea nyie wazee ,maana sie tunahitaji nguvu kazi za kupambana na kasi ya jpm
ahahahahah tuoneeni huruma jomoniiiiiiMagroup yao wanafundishana namna ya kukata kiuno hawa watu ni wa kuonea huruma sana mkuu
Jpm kashatuvuruga sie [emoji4] [emoji4] [emoji4]hahahahahhaha
hahaha sawa mkuu asilimia ngapi umeunga mkono hoja?NAUNGA MKONO HOJA. NGONO HATA MBWA ANAJUA
Sawa mie mcheza kareti simstaki maana sina mpango wa kufunguwa chuo cha karetiMbona Hao wapiga sarakasi wamekuwa chachu Kwenye kuvuruga ndoa zenu na Hao vichwa unaowasema kila siku mnawaliza na kuwaacha. Tatizo LA wanaume mnachokitafuta hamkijui bado na mkikipata hamkithamini.
Dhumuni la ndoa ni kuondoa zinaa Kwenye Jamii. Mengine ni mbwembwe. Kila mmoja achague kipendacho roho yake.
Haina maana ya ndoa Uoe Mwenye Akili kilichofanya Nyinyi mfunge ndoa hauridhiki nacho utachepuka tu na ndipo balaa linapoanzia.
Sasa thread Yako Umesemea wanaume wote. Ungejisemea weweSawa mie mcheza kareti simstaki maana sina mpango wa kufunguwa chuo cha kareti