Kama Unahisi Kupiga Sarakasi Kitandani kama Jet lii Kutamtuliza Mwanaume Mmefeli

mimi simaanishi kwamba awe na elimu nachosema awe na akili ya maisha tu basiii
 
Kavideo kidgo ingenoga sana
 
na yule ambae anafuata maelekezo kitandani geuka huku anageuka,njoo kwa juu anakuja,shika hapo halafu me nakuja kwa hivi anashika na mwengineyo ya kunifanya asiniishe hamu...

wale wajeuri ukimwambia fanya hivi yeye anaaza sababu mara zima taa,mara mkao huo me nitaumia,ohoo hivyo bhana tumbo litaniumaaa....
hao wa hivyo hawana mchango kabisaaa...tupa kuleeeee....
 
Mkuu maana yangu ni hivi wapi wanawake wa mjini wanaona kuwa fundi ndo kila kitu ,yaan wanahisi wanaume tunachohitaji ni ufundi tu kitandani basii.
sina maana kwamba wajuzi wa kitandani hawahitajiki la hasha ila si kigezo pekee
Hapo nimekupata mkuu.....
 
mwanamke ata awe tahira lakini awe na manjonjo kitandani me nitamtafutia tu ayo maendeleo!!
 
Umezungumza vyema japo kwenye mazungumzo mengi tunazungumza opposite yake
 
Enheee...

Hapo sawa kabisa. Mi nimetoa mke sijaoa mbia wa maendeleo. Anipe nayoyahitaji ambayo siwezi kupewa na mama wala dada zangu... Akiamua kuchangia kwenye maendeleo hiyo ni added advantage
Asante sana..
 
Mmmh. Nyinyi wanaume,mkipewa moja mnasema umekosa tunataka mbili. Wengine utasikia bora mama wa nyumbani amfanyie kila kitu,hapo hapo leo mnasema hamtaki nini sarakasi vitandani kazi mbona ipo..
 
Aise niko tofauti kidogo, kwanza maumbule, hiyo akili baada ya mambo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…