Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Ukitaka kufuga kuku bila stress fuga kuku wa kienyeji tu.

Tena anza na makoo hata 10 tu na jogoo mmoja au wawili then endelea taratibu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli nimeamini hapo 'hakuna uchawi' ila ni bidii na kujituma tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwani hakuna mashamba yaliyolimwa mtu avune akauze si lazima alime yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…