Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Punguza kwenda BendiYaani hela haikai Extrovert! Sijui nakwama wapi🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza kwenda BendiYaani hela haikai Extrovert! Sijui nakwama wapi🤔
Hahaa bendi kwenyewe huwa situmiagi mtonyo mkubwa nilivo kabahili😂, basi tu kasalary kenyewe kaduchu mkuuPunguza kwenda Bendi
Very great ideaNtkuwa nauza pia pweza kachori mihogo na vibua .. nahs ntamake 30k per day..😊
Pole tujiajiri sasa mpenziHahaa bendi kwenyewe huwa situmiagi mtonyo mkubwa nilivo kabahili😂, basi tu kasalary kenyewe kaduchu mkuu
Namna ya kuuongeza. Toa asilimia kumi kila mwezi fungua akauti UTT AMIS weka pale. Ukiweka isahau. Fanya kama umenunua kiatu, au mchele ukala. Baada ya mwaka mmoja nitafute nitakwambia cha kufanya.Hahaa bendi kwenyewe huwa situmiagi mtonyo mkubwa nilivo kabahili😂, basi tu kasalary kenyewe kaduchu mkuu
Sisi wa mikoani sasa tutapataje?Naanza biashara ya kuuza miguu ya kuku na vichwa vya kuku Dodoma nyerere square pemben ya Sheli ya Total, Karibuni kwa oda na ushauri
Hutaanza kuipata kwasababu ya kuuza vitu hivyo ila kwa moyo huu ukikaza utaipata ukichanganya na mambo mengine kikubwa uvumilivu na consistencyNtkuwa nauza pia pweza kachori mihogo na vibua .. nahs ntamake 30k per day..😊
Wow huu ushauri ni mzuri mkuu, thank you itabidi nifanye hivo maana saving kwa hiari ni ngumu😐Namna ya kuuongeza. Toa asilimia kumi kila mwezi fungua akauti UTT AMIS weka pale. Ukiweka isahau. Fanya kama umenunua kiatu, au mchele ukala. Baada ya mwaka mmoja nitafute nitakwambia cha kufanya.
Labda usajili kwa gari nyingine ndogo zaidi halafu ukawa unawafuata wateja kwa noah, ila yenyewe sidhani kama inakubaliwaHivi Noah inafaa kwa uber?
Options gani na dau gani?Mi nabet nina uhakika wa kuingiza 40,000 kila siku inayoenda
Jiongeze mwenyeweoptions gani na dau gani?
Picha na details zaidi naomba kama zipo PM.Wakuu nina biashara ya Chakula naiuza iko maeneo ya Chuo ,Nahamia makao makuu ya Nchi ....kwa mawasiliano zaidi check no.
Ndio. Ukianza na hiyo 10% haitakuumiza na utaona faida yake baadae.Wow huu ushauri ni mzuri mkuu, thank you itabidi nifanye hivo maana saving kwa hiari ni ngumu😐
Wanatoa asilimia fulani kwa mwaka kwa pesa unayoweka kwao ama hawatoi kabisa?Namna ya kuuongeza. Toa asilimia kumi kila mwezi fungua akauti UTT AMIS weka pale. Ukiweka isahau. Fanya kama umenunua kiatu, au mchele ukala. Baada ya mwaka mmoja nitafute nitakwambia cha kufanya.
Mkuu nakukumbusha kuhusu ombi languPicha na details zaidi naomba kama zipo PM.
Nakumbuka mkuu,kila ninapoona ID yako nakumbuka deni letu.Mkuu nakukumbusha kuhusu ombi langu