Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Sio lazima U comment au U reply sometimes reply zako huwa zinaonyesha wewe ni Mjivuni na una dharau sana. 😡All the best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio lazima U comment au U reply sometimes reply zako huwa zinaonyesha wewe ni Mjivuni na una dharau sana. 😡All the best
Sio lazima U comment au U reply sometimes reply zako huwa zinaonyesha wewe ni Mjivuni na una dharau sana. 😡
Duh kweli ugonjwa wa akili ni janga sasa hapo mtu kaandika all the best unamsema vibaya sasa sjui hujui kingereza [emoji23][emoji23] dahSio lazima U comment au U reply sometimes reply zako huwa zinaonyesha wewe ni Mjivuni na una dharau sana. 😡
Sasa nilichokurupuka nini Miss Numbisa ? Hapa watu wanaomba kupeana ushauri na connections za michongo, Wewe unasema All the Best, sasa nani aliyekurupuka?Mkuu punguza kukurupuka. Inaonekana una stress sana na kizungu kimekupita kando aiseee povu lote hilo kisa neno all the best daah
Sasa nilichokurupuka nini Miss Numbisa ? Hapa watu wanaomba kupeana ushauri na connections za michongo, Wewe unasema All the Best, sasa nani aliyekurupuka?
Nyie labda mna tofauti zenu mda tuu au hajaelewa maana ya " all the best"Get some help mkuu,all the best ina maanisha kila la kheri sijaona ubaya kuwatakia watafutaji hivyo pia comments zoooteee umeziruka ukakurupukia yangu. Punguza kutafuta kiki na attention,isizokuingizia kipato,soma madini yanayotolewa na wadau badala ya kutoa povu lisilo na faida
Nyie labda mna tofauti zenu mda tuu au hajaelewa maana ya " all the best"
Huwez kuwa tajiri kwa kuingiza elfu 40 kwa siku ni pesa ndogo sana, labda angalau iwe laki nne ndo utaanza kuukaribia huo utajir tena wa kawaida tu! 🙄Tunaweka nyimbo,movie,season kwenye flash (zilizotafsiriwa na madj) hatuuzi bongo movie mana msako anytime...ofisi yaingiza 20000-25000 per day hapo sijatoa matumizi 8000 kwa siku pamoja na kipande cha mfanya kazi (siwalipagi kwa mwezi ni per day kila mtu afe na chake).
Alhamdu lillah now ziko ofisi 3 hii ya 3 bado mpya so haijafikia level ya 20-25 ipo kwenye 10000-15000.Kwa hizi ofisi tatu sikosi 40000 kwa siku.Huezi amini bado sijawa tajiri.Gharama ya kila ofisi ni 5-6 Ml....Kazi yangu sifanyii kwenye vibaraza nakodi frem so kodi kama kawa.
Changamoto ni kukosa wateja hasa walio kwenye matumizi ya CD so had mtu aje kwenye flash huchukua muda mana kila ninapofungua nakuwa kama ndio nawaamisha kwenye technolojia ya flash mana washazoea kukodi cd.
Changamoto ingine ni kukatika kwa umeme yan umeme ukikata na ofisi nafunga ( ila kwa sasa nimeweka vifaa vya electronics mf chaja earphones nk.
Changamoto ingine ni kupata kijana mzoefu wa kazi mana anakuja mteja anataka nyimbo ambayo yeye haijui labda anajua kuiimba kipande nk,Kutafuta mafile na upangaji yan ushapu na uzoe wengi huitaji muda kuwa katika lavel hii ila kwenye nyimbo huwa majanga hasa za zamani.
Changamoto ingine Kukesha usiku kupakua movie almost 21gb per day lazima itumike 20 usiku kwaajili ya movie 1gb mchana kwaajili ya nyimbo mpya (asante ttcl)
Changamoto ingine ni madhara ki afya ( long run) kwa kule kukaa muda mrefu kwenye kiti na kutumbulia macho kioo.
Changamoto ingine ni uwepo wa flash na memory card feki hii inatukosesha wateja mana mtu anakuja na flash umuwekee movie za 2000 ukitaka kuweka unagundua ni feki basi huwa hatuna haja ya pesa yake zaidi ya kumwambia flash yako ni feki hazitocheza tukikuwekea.
Inategemea na eneo ulipo huku kwetu mtu akimiliki boda boda na sabufa ni tajiriHuwez kuwa tajiri kwa kuingiza elfu 40 kwa siku ni pesa ndogo sana, labda angalau iwe laki nne ndo utaanza kuukaribia huo utajir tena wa kawaida tu! 🙄
😂😂😂😂😂😂Huko ni vijijini sana unakuta kijiji kizima hakuna mtu mwenye gari, ukienda na gari wanakushangilia hahahaInategemea na eneo ulipo huku kwetu mtu akimiliki boda boda na sabufa ni tajiri
Nani anawanyonga?Jamani changieni basi tujifunze na sisi wanyonge
Kuna watu wana vichwa vigumu kwel yaan toka mwanzo wa uzi mpka hapa bado hajapata wazo la biashara??? Au anataka shortcut???Nani anawanyonga?
Tupe mbinu za kuingiza lak 4 kwa siku na ww unafanya biashara gan mkuu ya kuingiza laki 4 kwa siku??Huwez kuwa tajiri kwa kuingiza elfu 40 kwa siku ni pesa ndogo sana, labda angalau iwe laki nne ndo utaanza kuukaribia huo utajir tena wa kawaida tu! [emoji849]
Mkuu mimi sijasema ninaingiza laki 4 kwa siku wala sina hizo mbinu bali nimemwambia tu ni ngumu kuwa tajiri kwa kipato cha elfu 40 kwa siku....Tupe mbinu za kuingiza lak 4 kwa siku na ww unafanya biashara gan mkuu ya kuingiza laki 4 kwa siku??
Mnavunja watu moyo bila sababu, ukijiona huna la kushauri vungaMkuu mimi sijasema ninaingiza laki 4 kwa siku wala sina hizo mbinu bali nimemwambia tu ni ngumu kuwa tajiri kwa kipato cha elfu 40 kwa siku....
Basi wewe mpe moyo, kwan humu tunapangiana cha kucomment????Mnavunja watu moyo bila sababu, ukijiona huna la kushauri vunga
Kabisa.Mnavunja watu moyo bila sababu, ukijiona huna la kushauri vunga