Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Mkuu punguza kukurupuka. Inaonekana una stress sana na kizungu kimekupita kando aiseee povu lote hilo kisa neno all the best daah
Sio lazima U comment au U reply sometimes reply zako huwa zinaonyesha wewe ni Mjivuni na una dharau sana. 😡
 
Mkuu punguza kukurupuka. Inaonekana una stress sana na kizungu kimekupita kando aiseee povu lote hilo kisa neno all the best daah
Sasa nilichokurupuka nini Miss Numbisa ? Hapa watu wanaomba kupeana ushauri na connections za michongo, Wewe unasema All the Best, sasa nani aliyekurupuka?
 
Get some help mkuu,all the best ina maanisha kila la kheri sijaona ubaya kuwatakia watafutaji hivyo pia comments zoooteee umeziruka ukakurupukia yangu. Punguza kutafuta kiki na attention,isizokuingizia kipato,soma madini yanayotolewa na wadau badala ya kutoa povu lisilo na faida
Sasa nilichokurupuka nini Miss Numbisa ? Hapa watu wanaomba kupeana ushauri na connections za michongo, Wewe unasema All the Best, sasa nani aliyekurupuka?
 
Get some help mkuu,all the best ina maanisha kila la kheri sijaona ubaya kuwatakia watafutaji hivyo pia comments zoooteee umeziruka ukakurupukia yangu. Punguza kutafuta kiki na attention,isizokuingizia kipato,soma madini yanayotolewa na wadau badala ya kutoa povu lisilo na faida
Nyie labda mna tofauti zenu mda tuu au hajaelewa maana ya " all the best"
 
Mimi sina ugomvi nae nimeshangaa amekasirika kisa neno all the Best. Labda ana kinyongo na mie tangu zamani,hivyo kapata fursa ya kutoa ya moyoni
Nyie labda mna tofauti zenu mda tuu au hajaelewa maana ya " all the best"
 
Sasa nilichokurupuka nini Miss Numbisa ? Hapa watu wanaomba kupeana ushauri na connections za michongo, Wewe unasema All the Best, sasa nani aliyekurupuka?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu kosa Lake ni hilo tu??
 
Msaada, naweza kupata wapi yebo yebo kwa bei ya jumla
 
Tunaweka nyimbo,movie,season kwenye flash (zilizotafsiriwa na madj) hatuuzi bongo movie mana msako anytime...ofisi yaingiza 20000-25000 per day hapo sijatoa matumizi 8000 kwa siku pamoja na kipande cha mfanya kazi (siwalipagi kwa mwezi ni per day kila mtu afe na chake).

Alhamdu lillah now ziko ofisi 3 hii ya 3 bado mpya so haijafikia level ya 20-25 ipo kwenye 10000-15000.Kwa hizi ofisi tatu sikosi 40000 kwa siku.Huezi amini bado sijawa tajiri.Gharama ya kila ofisi ni 5-6 Ml....Kazi yangu sifanyii kwenye vibaraza nakodi frem so kodi kama kawa.

Changamoto ni kukosa wateja hasa walio kwenye matumizi ya CD so had mtu aje kwenye flash huchukua muda mana kila ninapofungua nakuwa kama ndio nawaamisha kwenye technolojia ya flash mana washazoea kukodi cd.
Changamoto ingine ni kukatika kwa umeme yan umeme ukikata na ofisi nafunga ( ila kwa sasa nimeweka vifaa vya electronics mf chaja earphones nk.
Changamoto ingine ni kupata kijana mzoefu wa kazi mana anakuja mteja anataka nyimbo ambayo yeye haijui labda anajua kuiimba kipande nk,Kutafuta mafile na upangaji yan ushapu na uzoe wengi huitaji muda kuwa katika lavel hii ila kwenye nyimbo huwa majanga hasa za zamani.
Changamoto ingine Kukesha usiku kupakua movie almost 21gb per day lazima itumike 20 usiku kwaajili ya movie 1gb mchana kwaajili ya nyimbo mpya (asante ttcl)
Changamoto ingine ni madhara ki afya ( long run) kwa kule kukaa muda mrefu kwenye kiti na kutumbulia macho kioo.
Changamoto ingine ni uwepo wa flash na memory card feki hii inatukosesha wateja mana mtu anakuja na flash umuwekee movie za 2000 ukitaka kuweka unagundua ni feki basi huwa hatuna haja ya pesa yake zaidi ya kumwambia flash yako ni feki hazitocheza tukikuwekea.
Huwez kuwa tajiri kwa kuingiza elfu 40 kwa siku ni pesa ndogo sana, labda angalau iwe laki nne ndo utaanza kuukaribia huo utajir tena wa kawaida tu! 🙄
 
Huwez kuwa tajiri kwa kuingiza elfu 40 kwa siku ni pesa ndogo sana, labda angalau iwe laki nne ndo utaanza kuukaribia huo utajir tena wa kawaida tu! [emoji849]
Tupe mbinu za kuingiza lak 4 kwa siku na ww unafanya biashara gan mkuu ya kuingiza laki 4 kwa siku??
 
Back
Top Bottom