Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Biashara gani hiyo si muwe mnasema na biashara mnayofanya kwa faida ya wengi maana ndo dhumuni la huu uzi! Ukisema tu unakunja kiasi fulani kwa siku haimsaidii msomaji!
Mkuu biashara zimeshaelezwa kuanzia mwanzo wa uzi, ni jukumu la mtu kuusoma uzi vizuri na kma ana uhitaji sana atanifata PM nimuelekeze achen kuendekeza uvivu yaan hat kusoma uzi wote inakuw shida!
 
huwa siogopi kumshirikisha mtanzania mawazo yangu maaana najua wengi ni waskilizaji sio watendaji

so nafungukaga tu hata siogopi maana najua wanajua kuitikia wameelewa ila hawataki kuingia ktk utendaji

wengi ni waoga na wachagua fursa.
Wengi wanaogopa changamoto na rahis kukata tamaa
 
Ushapata lana
Hakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...

Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
 
Hakuna chenye faida kama Guest house.Tatizo ni mtaji tu...

Nimebadilisha nyumba ya kupanga (ya urithi)ikawa guest house.Ilikua na room 12.Mbovu mbovu tu.kwa siku nilikua napata zaidi ya 90k.Saiv nimekarabati naingiza zaidi.Nina mpango wa kujenga ingine
Wafu wananyanduana tuu au sio
 
Tunaweka nyimbo,movie,season kwenye flash (zilizotafsiriwa na madj) hatuuzi bongo movie mana msako anytime...ofisi yaingiza 20000-25000 per day hapo sijatoa matumizi 8000 kwa siku pamoja na kipande cha mfanya kazi (siwalipagi kwa mwezi ni per day kila mtu afe na chake).

Alhamdu lillah now ziko ofisi 3 hii ya 3 bado mpya so haijafikia level ya 20-25 ipo kwenye 10000-15000.Kwa hizi ofisi tatu sikosi 40000 kwa siku.Huezi amini bado sijawa tajiri.Gharama ya kila ofisi ni 5-6 Ml....Kazi yangu sifanyii kwenye vibaraza nakodi frem so kodi kama kawa.

Changamoto ni kukosa wateja hasa walio kwenye matumizi ya CD so had mtu aje kwenye flash huchukua muda mana kila ninapofungua nakuwa kama ndio nawaamisha kwenye technolojia ya flash mana washazoea kukodi cd.
Changamoto ingine ni kukatika kwa umeme yan umeme ukikata na ofisi nafunga ( ila kwa sasa nimeweka vifaa vya electronics mf chaja earphones nk.
Changamoto ingine ni kupata kijana mzoefu wa kazi mana anakuja mteja anataka nyimbo ambayo yeye haijui labda anajua kuiimba kipande nk,Kutafuta mafile na upangaji yan ushapu na uzoe wengi huitaji muda kuwa katika lavel hii ila kwenye nyimbo huwa majanga hasa za zamani.
Changamoto ingine Kukesha usiku kupakua movie almost 21gb per day lazima itumike 20 usiku kwaajili ya movie 1gb mchana kwaajili ya nyimbo mpya (asante ttcl)
Changamoto ingine ni madhara ki afya ( long run) kwa kule kukaa muda mrefu kwenye kiti na kutumbulia macho kioo.
Changamoto ingine ni uwepo wa flash na memory card feki hii inatukosesha wateja mana mtu anakuja na flash umuwekee movie za 2000 ukitaka kuweka unagundua ni feki basi huwa hatuna haja ya pesa yake zaidi ya kumwambia flash yako ni feki hazitocheza tukikuwekea.


UPDATE 11 July 2024
Biashara ya library ishakuwa kimeo now studio kila kona.Movie zinauzwa bei ya mafungu tena yakutupa.
Nilishazifunga izo mbili nimebakiwa na moja noyo mauzo yameshuka imechezea kwenye 10k-15k kwa siku.

Hesabu iyo inakuwa kwa kuboresha kuwauzia na Zisizotafsiriwa HD so tunatumia router kupakua icho ndio kinachotuweka mjini kwani studio nyingi hawana au hawajui hata huko kudownload toka pirates sites.
Updated 🥹🥹😭
 
Back
Top Bottom