Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Ina
Mimi UTT wananiingizia 18,700 - 20,000 kila siku kwa mtaji wa 62m.
inatakiwa ufikirie upya yaan return on investment unayopata hapo n ndogo sana. yaan umewekeza 62m alafu inakupa faida ya laki6 kwa mwez.
 
Ina

inatakiwa ufikirie upya yaan return on investment unayopata hapo n ndogo sana. yaan umewekeza 62m alafu inakupa faida ya laki6 kwa mwez.
Tupe hizo investment ulizonazo ww ambazo zina return kubwa huku hela yako ikiendelea kuwa safe!?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…