radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,411
- 6,473
ni wewe mwenyewe, kuna ile ya mwanzo uliyoitoa na kuiweka hii, ni mtu mmojaSio Mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni wewe mwenyewe, kuna ile ya mwanzo uliyoitoa na kuiweka hii, ni mtu mmojaSio Mimi.
Haha dilwale ni bonge la sherehe kwa wahindi
wape wengene hiyo fulsa ukiwaeleza abc za hiyo biashara isije potea bureMiezi miwili iliyopita nilikua najihusisha na biashara ya vipodozi vya usoni vya wanawake..nilikua natumia mtaji wa tsh 30000 kwa siku nilikua naweza kupata wateja si chini ya 5 hadi 6 na kila bidhaa nilikua nauza 30000.. kwahiyo nilikua napata hadi laki na nusu faida..ila tatizo ilikua inachosha Sana na nilivyopumzika ndiyo nikapumzika mazima.
ongeza masnich wazandiki wanapenda wake za watu na nyumba ndogo wa Mbeya sana Yaani hujakosea shubamat wabongoHakuna Mbongo Wa Kukushirikisha Kitu Kama Hicho.
Mbongo Ni Mtu Mwenye Siri Sana Kwa Mambo Yanayompa Faida.
Ni Wasiri, Wabinafsi Na Wanafiki Kupindukia.
Bei inategemea na quality ya beli nililofungua kwa mfano nguo za watoto kila moja inakuwa na bei yake. Ila viblause naweza kuanzia 10,000 kwa kimoja vikishachaguliwa sana nashusha nafanya 5000. Magauni naanzia 10,000 - 15,000 na unakuta beli la magauni linakuwa na kg 100 hivyo nguo no nyingiUmenishawishi sana kiongozi ila hujataja bei ya kila nguo!
Mimi naagiza beli Mnazi Mmoja kule kwenye maduka ya Mtumba then nafungua mwenyewe. Ukienda Kariakoo au Ilala watakupiga bei na wao wananunua hukohuko Mnazi.Dar boma au kariakoo
Ongeza nyama nyama kwenye mchango wako.Misosi na mikorogo ndiyo inayolipa kwa sasa
Belo la nguo za watoto grade one bei ganiBei inategemea na quality ya beli nililofungua kwa mfano nguo za watoto kila moja inakuwa na bei yake. Ila viblause naweza kuanzia 10,000 kwa kimoja vikishachaguliwa sana nashusha nafanya 5000. Magauni naanzia 10,000 - 15,000 na unakuta beli la magauni linakuwa na kg 100 hivyo nguo no nyingi
Kabisa, huwezi kunipinga, utaniongezea tu mawazo. I know you well, you have positive and constructive mind my princess.Hebu nishirikishe mimi siwezi kukupinga kabisa
Inategemea na duka utakalonunulia ila linaanzia 600,000 hadi 650,000Belo la nguo za watoto grade one bei gani
Chief una uzoefu na hii biashara?Duka muhimu la dawa, ukianza na mtaji mdogo M moja , ukabahatika kuuza laki moja kwa siku na ukawa na nidhamu ya pesa , UTATOBOA
Hiyo mindset ndio tatizo la wengi. Kuamini biashara lazima uchawi au mchungaji akuombee ni potofu. Siri kubwa ni eneo sahihi kwa huduma sahihi na mtegemee MUNGU.ANGALIZO
Biashara pia inategemea vitu viwili muhim, kama kuna mchungaji unaemwamin sali Sana. Kama unamganga unaemwamin roga sana, usiwe vuguvugu
huu ni ukweli mchungu ambao wengi wataupinga
Mkuu,kama unataka biashara ya umachinga hiyo 30 kwa day inawezakana kaka tafuta chance karikoo mtaa wa congo mtaa wa msimbazi or agreey ukipata chance maana ziauzwa au kukodi mule barabarani.alafu uwe ata laki 8 mpaka m2 hiyo 30 unapata mapema sana biashara zipo nyingi kwenda kuchukua kwa wachina unatafuta kijana unamlipa kwa day.kukodi mule road inategemea kuna spece inategemea na location wanaanzia kwa siku 5000-15000.biashara mfano viatu all star au simpe zozote ukosi faida 2000 kwa pea moja ukichukua kwa mchina kuna jeans mashati t-shet au kama unajiweza kata mabegi ya mtumba.vijana wengi wa karikoo hilo eneo washajenga au wanajenga au utakuta anacho kiwanja ula ukiwaona utawaona kama wasio na kitu.unaweza ukafanya resech utaamini
Hapo kwenye Maziwa funguka kidogoNimewahi kutoa uzi kuhusu samaki na maziwa. Miminatumia mtaji wa 60000 kwa siku usafiri 4000 nakunja 33000 kwa siku kama faida
Mimi mishe zngu ni za kujirisk sana mkuu..alafu ni ngumu sana za kiume mnoo..wengi hawataweza naaminhaya tupe na sisi hiyo fursa
asilimia kubwa ya wanaofeli dar, kinachowaponza zaidi ni kukataa kukubali kua kuna mikoa mingine unaeza ukapiga sana pesa kuliko hata dar.. wanabaki wanasema wanakomaa na jiji kuna ishu wanaisikilizia [emoji23]