Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buguruni gharama za maisha ni ndogo na mzunguko wa hela ni mkubwaUkiona sehem gharama za maisha zipo chin sana ujue mzunguko wa Hela mdogo San.
Vatican Kidimbwi[emoji2][emoji2][emoji1666]Tukutane kona pub au vatican
Nako pori ni kubwa tuu na huko maji ni bwerere. Ukichelewa kuandaa mbegu imekula kwako.Mbarali hii! Ukifika Kyela naona utachanganyikiwa, Kyela inazo fursa nyingi sana za kilimo cha korosho, michikichi, kokoa, mpunga, migomba, vanila, mahindi, minazi, uvuvi, ufugaji, parachichi na biashara ya mpakani na Malawi pia upande wa pili wa ziwa Nyasa yaani wilaya ya Nyasa.
Mbarali kilimo ni cha mpunga ni cha kugombania maji na eneo ni dogo wakulima wamebanana.
Mmmmh mzee unaongea tu au ulisha wahi fanya biashara kwa mtu anayejitafuta usijaribu igawa lujewa au ubaruku utakula jua tu, kilimo cha mpunga kule wanaamini sana ushirikina labda uende kipindi cha mavuno ndo uende kufanya kazi za kupigaMkuu kwenye kilimo fursa kubwa ni kilimo cha mpunga lakin si Sawa kusema Mbarali fursa ni hiyo tu .
Mbarali biashara zinatembea Sana . Hata hapo Rujewa biashara zinaenda Sana .
Mbona Masaki hela hakuna lakin gharama ziko juuUkiona sehem gharama za maisha zipo chin sana ujue mzunguko wa Hela mdogo San.
Jaribu kufatilia vinzur per capital income za watu wa eneo hiloBuguruni gharama za maisha ni ndogo na mzunguko wa hela ni mkubwa
Bro Ile ni sehemu ya makaz ya watu sio sehem za biashara kule watu wanaenda kupumzika baada ya kuvuna Hela zao, sio sehem ya utafutajiMbona Masaki hela hakuna lakin gharama ziko juu
Masaki ipi, sisi Masaki halisi ya mkoa wa pwani maisha ni rahisi sana kwani tunategemea kilimo.Mbona Masaki hela hakuna lakin gharama ziko juu
Kisarawe hakuna maisha rahisi. Mana kilimo na kukata mkaa kukata mkaa Kuna hela. Sasa kakate huo mkaa tukuone kama ujafanana na magogo unayoyakataMasaki ipi, sisi Masaki halisi ya mkoa wa pwani maisha ni rahisi sana kwani tunategemea kilimo.
Persimmist hawakosekaniSasa fika eneo la tukio ndio utajua hujui
Hakuna kitu Kama hicho wee Mzee. Ushirikina unaaminiwa nchi nzima na mtu hawez fanya ushirikina then akaacha kuweka mbolea na kupalia Kwa wakati.Mmmmh mzee unaongea tu au ulisha wahi fanya biashara kwa mtu anayejitafuta usijaribu igawa lujewa au ubaruku utakula jua tu, kilimo cha mpunga kule wanaamini sana ushirikina labda uende kipindi cha mavuno ndo uende kufanya kazi za kupiga
Maasai hovyo sanaHapo Mbarali ingekuwa wafugaji wa kimasai wapo tayari pangekuwa uwanja wa vita.
Wasukuma (wafugaji) walivamia hilo bonde la Usangu kwa wingi toka miaka ya 1990 na hakuna migogoro sana ya matumizi ya ardhi though waliondolewa bondeni