Kama unajitafuta, nenda kaishi wilaya ya Mbarali

Kama unajitafuta, nenda kaishi wilaya ya Mbarali

Ardhi Mbeya gharama ni kubwa sana,ekari moja Mbeya Kwa Rukwa na Katavi unapata zaidi ya ekari 5
 
Unafikir gharama inatokana na nin
Sijajajua nahisi n Kwa sababu wanalima kilimo bandika bandua,
Nimewauliza wakulima wanasema cost za kulima Mbeya zipo juu afadhari ya swanga maana kote bila kuweka mbolea hupati kitu
 
Sijajajua nahisi n Kwa sababu wanalima kilimo bandika bandua,
Nimewauliza wakulima wanasema cost za kulima Mbeya zipo juu afadhari ya swanga maana kote bila kuweka mbolea hupati kitu
Mchele wa Mbeya ni very marketable
 
Kwani moro na mbeya upi mkoa wenye fursa zaidi ya kilimo
Town mchele maarufu unatoka moro? Muuzaji anakwambia kitu cha mbeya kikiwepo apo juu, kwa kuona tu unajua mzgo wa mbeya. Mda huo nilinunua wa moro, wa mbeya huwa haukai unaisha fasta....amesema muuzaji
 
Wakuu maisha ni kushare love.

Nataka niwaambie vijana na watafutaji wengine ikiwemo hata watumishi wa umma wenye mishahara midogo midogo.

Hakuna sehem Tanzania hii panafaa Kwa mtu anayejitafuta Kama Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.

Wilaya ya Mbarali ina fursa jumuishi nyingi Sana lakini kubwa zaidi ni kilimo na biashara.

Kuna watu pande za Ubaruku, Madibira , Kapunga n.k wanapiga Sana hela kwenye kilimo cha mpunga na biashara ya mchele.

Mbarali kbiashara pia kuna fursa sana, kwenye mchele na hata mazao mengine kuna fursa Sana.

Fursa ya usafirishaji nayo haipo nyuma maana Mbarali ni Wilaya ambayo ipo active Sana na usafiri ni wa uhakika.

Fursa NI nyingi Sana ,, wengine wataongezea. Kuna jamaa anaitwa Kaponda yupo KIJIJI Fulani kinaitwa Mswiswi Mwamba anafanya vizur Sana na anatajirika kweli kweli maana kamix biashara mbalimbali now ana Scania si Chini ya 10.
Uzi mzuri sana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cha kuongeza
Mbarali pamoja na maeneo ya jirani ya hifadhi yanakumbwa na sekeseke la mipaka ya hifadhi hivyo kwa wawekezaji kuweni makini msije uziwa maeneo yaliyo ndani ya mpaka wa hifadhi.
 
Tuacheni masihara. Hakuna sehemu nzuri kwa kila mtu kutafuta maisha. Maisha na mafanikio yanaanzia kwenye akili kabla ya kuonekana kiuhalisia.

Utajiri ni matokeo na sio mchakato, tuachane na hayo. Karibuni ziwa Victoria kwa shughuli za uvuvi unalipa sana, bila kusahau machimbo ya dhahabu na almasi. Njoo na akili yako na mtaji kidogo tu nguvu utazikuta mbele ya safari.
Hakika
 
Cha kuongeza
Mbarali pamoja na maeneo ya jirani ya hifadhi yanakumbwa na sekeseke la mipaka ya hifadhi hivyo kwa wawekezaji kuweni makini msije uziwa maeneo yaliyo ndani ya mpaka wa hifadhi.
Mbarali hawauzi maeneo, wanakodisha tu Kwa msimu
 
Back
Top Bottom