Kama unajitafuta nje ya Dar es salaam, sahau kuhusu utajiri

Kama unajitafuta nje ya Dar es salaam, sahau kuhusu utajiri

Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo

Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia

Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam

Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.

Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Kuna wakati ulikuwa unafikiria kuwa mwanamke, ulifikia wapi ule mpango wako?
 
Ila kuna watu wana nyota ya kukubalika humu jukwaani. Mmojawapo ni Mpwayungu.

Huyu jamaa huwa analeta nyuzi za kutamani yeye kuwa mwanamke, watu wanamchana, baadae inasahaulika anavuta kasi tena na nyuzi zingine.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Dar mnaishi km nguruwe,mama na baba na watt chumba kimoja.....mkoan haipo hiyo
Chai saa 6 mchana, chakula cha mchana ni saa 2 usiku. Mpk kesho tena.
Hapo ndiyo nilichoka. Mikoa kununua kiwanja ni rahisi, unaweza kujenga hata chuma na sebule chenye self, ukaishi. Dar hicho kiwanja sijui unakitolea wapi
 
Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo

Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia

Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam

Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.

Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Vipi kuhusu waalimu mkuu?
 
Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo

Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia

Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam

Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.

Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
We jamaa jaribu kuficha udhaifu wako kidogo mada zako huwa ziko very low yaani hufikri kabla ya kuandika kifupi huwezi kuwa na jibu moja kwa maeneo yote asilimia kubwa ya huo mzunguko wa hela unaouona hapo Dar ni kutoka upcountry yaani mikoani kifupi wazalishaji wako mikoani wachuuzi na walaji wako mikoani ni wewe tu kuangalia unataka uwe wapi katika huo mnyororo wa thamani afu Dar sio issue bro asilimia kubwa ya wamiliki wa mijengo hapo Dar wako Mkoa huko kuja chukua tu kodi nakusepa bila kelele , tumezaliwa hapo ila tupo mkoa kusaka life brother kweli we wa mpyayungu ale swelo wenyu
 
Wewe dogo unamatatizo sana! Ukienda Arusha,Mwanza Iringa,kahama watu tena vijana wana pesa nzuri tu kuzidi vijana wengi mjini hapa! Dar ni ujuaji tu lakini majority ya vijana njaa kali! Au kumiliki IST ndo kutoboa unakomaanisha!😂
Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo

Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia

Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam

Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.

Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
 
Back
Top Bottom