Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati ulikuwa unafikiria kuwa mwanamke, ulifikia wapi ule mpango wako?Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo
Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia
Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam
Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.
Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
[emoji848] labda msingi kiuno i mean kuendesha maguta boda nkDar zaidi ya uchuuzi utafanya biashara gani ya maana
Chai saa 6 mchana, chakula cha mchana ni saa 2 usiku. Mpk kesho tena.Dar mnaishi km nguruwe,mama na baba na watt chumba kimoja.....mkoan haipo hiyo
Vipi kuhusu waalimu mkuu?Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo
Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia
Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam
Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.
Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
We jamaa jaribu kuficha udhaifu wako kidogo mada zako huwa ziko very low yaani hufikri kabla ya kuandika kifupi huwezi kuwa na jibu moja kwa maeneo yote asilimia kubwa ya huo mzunguko wa hela unaouona hapo Dar ni kutoka upcountry yaani mikoani kifupi wazalishaji wako mikoani wachuuzi na walaji wako mikoani ni wewe tu kuangalia unataka uwe wapi katika huo mnyororo wa thamani afu Dar sio issue bro asilimia kubwa ya wamiliki wa mijengo hapo Dar wako Mkoa huko kuja chukua tu kodi nakusepa bila kelele , tumezaliwa hapo ila tupo mkoa kusaka life brother kweli we wa mpyayungu ale swelo wenyuHuu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo
Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia
Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam
Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.
Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo
Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia
Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam
Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.
Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Utapata hiyo ni nje ya bongoMimi najitafuta nikiwa viunga vya Augsburg
Vipi natakiwa kusahau kuhusu utajiri?
Nyie hamna akili hata mkija dar ni kazi BureSisi walimu inabidi tuhamie dar Sasa
Kwahiyo wafanyabiashara wote wa dar ni wachuuzi?Dar zaidi ya uchuuzi utafanya biashara gani ya maana
Kwani nimekataa hiloUelewa wako Mdogo sana, sasa nakubali bora ungekuwa mwanamke.
Mfano :
Kuna watu wanaishi kwenye camps serengeti na vijiji vya karatu ni matajiri wa kutupa. Tena haraka.
Hilo lipo piaInategemea na shughuli anayofanya mtu maana Kuna watu mwaka wa 20 huu ila bado wanajifauta.Mjini Kama huna shughuli ya maana Ni pagumu Sana.
Out of topicKuna wakati ulikuwa unafikiria kuwa mwanamke, ulifikia wapi ule mpango wako?
Thread closed 'UKISIKIA MTU ANAZUNGUMZIA FURSA DASLAM, BASI UJUE HUO NI UCHUUZI'Dar zaidi ya uchuuzi utafanya biashara gani ya maana
Lolote liwakute [emoji23][emoji23][emoji23]Vipi kuhusu waalimu mkuu?