incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
Post za huyu jamaa mpwayungu village pamoja na Robart harrier huwa naziscip bila kufungua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weekends wazee wa harakati hawapo mjini ,utawakuta Morogoro ndani ndani,ifakara huko,handeni hapo mkata ,mradi kuna mahala wanaenda check maendeleo ya uwekezaji ,j3 kama kawa wapo mzigoDar matajiri wengi utajiri wao wameutolea mikoani, wengine wamehamia baada ya kutoboa kimaisha.
Wewe ambae unategemea kuishi kwa ujanja ujanja kwa kigezo eti dar huwezi kulala njaa, utazeeka unatafutia tumbo lako na kujidai unamjua kila tajiri kwenye vijiwe vya kahawa
Jioni ikifika unaenda kuoga kwenye bafu lisilo na mlango unaweka Shuka mlangoni.
Mkuu unabishana na mtu anaye Jutia jinsia yake?Ila Wewe pole sana Tena mikoani kutoboa rahisi kuliko dar
Though Mimi ni mzaliwa wa Dar from newborn to college mpk kazi na maisha ila Niko Mkoa Kwa Sasa Kwa short time bwanaa ukitulia fursa zipo abundantly Rudi Mpwayungu nikuoneshe machimbo
Labda udalali na uchawa...hiyo kauli ya ukija dar unatoboabilishapitwa na wakatiDar zaidi ya uchuuzi utafanya biashara gani ya maana
u winga.Labda udalali na uchawa...hiyo kauli ya ukija dar unatoboabilishapitwa na wakati
Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya Bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa Dar Es salaam ahsee kuja kutoboa sio simpo kihivyo.
Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka sanaa, ukiwa kijana wa sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia.
Ndani ya jiji la Dar es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama Dar es Salaam
Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.
Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri.
Kaa na mawazo Yako hayo, vijana wa miaka ya 2000 wanatajirika migodini huko lake zone.
Wanaandika pumba.Post za huyu jamaa mpwayungu village pamoja na Robart harrier huwa naziscip bila kufungua
Endeleeni kuamini ni Pumba! Lakini Dar watu wanabadili maisha ila wanaopotea ni wengi kuliko wanafanikiwa!Wanaandika pumba.
Dar kuna watu wenye maisha mabovu kazi kurundikana mabondeni tu!Kwa hiyo walioko dar wote wanatuzidi maisha tuliopo shy n.k