Kama unajitafuta nje ya Dar es salaam, sahau kuhusu utajiri

Kama unajitafuta nje ya Dar es salaam, sahau kuhusu utajiri

We jamaa jaribu kuficha udhaifu wako kidogo mada zako huwa ziko very low yaani hufikri kabla ya kuandika kifupi huwezi kuwa na jibu moja kwa maeneo yote asilimia kubwa ya huo mzunguko wa hela unaouona hapo Dar ni kutoka upcountry yaani mikoani kifupi wazalishaji wako mikoani wachuuzi na walaji wako mikoani ni wewe tu kuangalia unataka uwe wapi katika huo mnyororo wa thamani afu Dar sio issue bro asilimia kubwa ya wamiliki wa mijengo hapo Dar wako Mkoa huko kuja chukua tu kodi nakusepa bila kelele , tumezaliwa hapo ila tupo mkoa kusaka life brother kweli we wa mpyayungu ale swelo wenyu
Ale solowenyu nyenye
 
Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo

Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia

Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam

Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.

Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Hii kweli kabisa. Mikoani watu hawajali muda,wanachagua kazi,wanapeana michongo kindugu au kiukoo na kuridhika hata kwa kitu kidogo sana
 
Hii kweli kabisa. Mikoani watu hawajali muda,wanachagua kazi,wanapeana michongo kindugu au kiukoo na kuridhika hata kwa kitu kidogo sana
Endeleeni kudanganyana kama uko Dar na hauna mishe au kazi ya maana vijana wa mkoani watakukimbiza tena sana tu! Wewe fanya utoke hapa Dar uende zako Njombe,Tunduma,Katoro au Kahama utajiona ni boya unayepoteza mda Dar!
Vijana Dar ni tamu kwa starehe lakini kama hauna kazi ya kukuingizia kipato cha uhakika na ukabaki kudhania kuwa walioko mikoani hawatoboi maisha unajidanganya!
Pia vijana jitahidini kutoka nje ya Dar! Mimi nikikwambia tu Ukienda hata Mwanza hapo kuna vijana wana nyumba kali hata nyumba mnazojenga sijui kinyerezi akija mtu wa Mwanza anawaona hamna maajabu!
Hata Mo Dewji alisema utafiti unaonesha vijana wa mikoani wana kipato kikubwa kuzidi walioko Dar!
Akili mkichwa kila mtu apambane kivyake sio kulishana matango pori hapa!
 
Endeleeni kudanganyana kama uko Dar na hauna mishe au kazi ya maana vijana wa mkoani watakukimbiza tena sana tu! Wewe fanya utoke hapa Dar uende zako Njombe,Tunduma,Katoro au Kahama utajiona ni boya unayepoteza mda Dar!
Vijana Dar ni tamu kwa starehe lakini kama hauna kazi ya kukuingizia kipato cha uhakika na ukabaki kudhania kuwa walioko mikoani hawatoboi maisha unajidanganya!
Pia vijana jitahidini kutoka nje ya Dar! Mimi nikikwambia tu Ukienda hata Mwanza hapo kuna vijana wana nyumba kali hata nyumba mnazojenga sijui kinyerezi akija mtu wa Mwanza anawaona hamna maajabu!
Hata Mo Dewji alisema utafiti unaonesha vijana wa mikoani wana kipato kikubwa kuzidi walioko Dar!
Akili mkichwa kila mtu apambane kivyake sio kulishana matango pori hapa!
Katika pitapita zangu niliwahi kupita hapo katoro ebwana vijana under20 wana mijengo mikali sema wamekariri sikupenda wanavyojenga mabati yameenda juu mno gharama ya bati tu ni nyumba za tabata. Lakini pia mwanza nyumba niza kisasa sana kulinganisha na dar
 
Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo

Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia

Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam

Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.

Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Kwani walimu wameishabadirika mbona umehamia kwa vijana na mikoa. Hao vijana ambao hawajatoboa nao ni walimu.
Rudi kwenye mada tulizokuzoea maana huwa unapata view nyingi.
 
Kwa akili zako ndogo unawaza kutafuta nikufungua duka nakuuza utakufa masikini hapo dar unapata pesa ya bia moja kwa siku inahs umetoboa.

Kuna watu dar mnauza miguu ya kuku na utumbo inatoka kwa speed mnahs mna biashara

Ushamfikiria mtu mkoa ambae ni contractor? Je mwenye kampuni yake ya mazao na anafanya kazi na akina Mo, bhakresa? Hivi biashara pale mwanza, morogoro wafanyabiashara hao wanazidiwa na watu wa dar?

Kasheku msukuma anaishi dar? Hardware, timber, min market kubwa mikoni watu wa dar wanazo na wanapata pesa kuzidi mkoa? Mliokuja dar ukubwana mna shida sana
 
Back
Top Bottom