Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #41
Ale solowenyu nyenyeWe jamaa jaribu kuficha udhaifu wako kidogo mada zako huwa ziko very low yaani hufikri kabla ya kuandika kifupi huwezi kuwa na jibu moja kwa maeneo yote asilimia kubwa ya huo mzunguko wa hela unaouona hapo Dar ni kutoka upcountry yaani mikoani kifupi wazalishaji wako mikoani wachuuzi na walaji wako mikoani ni wewe tu kuangalia unataka uwe wapi katika huo mnyororo wa thamani afu Dar sio issue bro asilimia kubwa ya wamiliki wa mijengo hapo Dar wako Mkoa huko kuja chukua tu kodi nakusepa bila kelele , tumezaliwa hapo ila tupo mkoa kusaka life brother kweli we wa mpyayungu ale swelo wenyu
SikupingiHiyo aya ya mwisho ya andiko lako imejaa chuki sana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Lolote liwakute [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpwayungu Village ni mgogo,wape wasukuma heshima yao...Tatizo wasukuma mkishafika dar ndio mnaona mmemaliza dunia...kwan ulishatafuta mikoa ipi na ipi mpaka ukaja na hilo wazo la kitoto kabisa?
Aliona shoo Kali,akaona arudishe majeshi nyuma....Kuna wakati ulikuwa unafikiria kuwa mwanamke, ulifikia wapi ule mpango wako?
Hahaha kumbe ni ombaombaMpwayungu Village ni mgogo,wape wasukuma heshima yao...
Ombaomba,mpaka anaomba kuwa mwanamkeHahaha kumbe ni ombaomba
Dar mabasha ni wengi huenda kashapata bwana ndio maana anakuja na thread za kutapatapa..sema kama bado hajapata tumtafutie..posta kuna muhindi anawapasua anawalipa vizuri🤣Ombaomba,mpaka anaomba kuwa mwanamke
AahaaaaaDar mabasha ni wengi huenda kashapata bwana ndio maana anakuja na thread za kutapatapa..sema kama bado hajapata tumtafutie..posta kuna muhindi anawapasua anawalipa vizuri🤣
Hii kweli kabisa. Mikoani watu hawajali muda,wanachagua kazi,wanapeana michongo kindugu au kiukoo na kuridhika hata kwa kitu kidogo sanaHuu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo
Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia
Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam
Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.
Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Endeleeni kudanganyana kama uko Dar na hauna mishe au kazi ya maana vijana wa mkoani watakukimbiza tena sana tu! Wewe fanya utoke hapa Dar uende zako Njombe,Tunduma,Katoro au Kahama utajiona ni boya unayepoteza mda Dar!Hii kweli kabisa. Mikoani watu hawajali muda,wanachagua kazi,wanapeana michongo kindugu au kiukoo na kuridhika hata kwa kitu kidogo sana
Katika pitapita zangu niliwahi kupita hapo katoro ebwana vijana under20 wana mijengo mikali sema wamekariri sikupenda wanavyojenga mabati yameenda juu mno gharama ya bati tu ni nyumba za tabata. Lakini pia mwanza nyumba niza kisasa sana kulinganisha na darEndeleeni kudanganyana kama uko Dar na hauna mishe au kazi ya maana vijana wa mkoani watakukimbiza tena sana tu! Wewe fanya utoke hapa Dar uende zako Njombe,Tunduma,Katoro au Kahama utajiona ni boya unayepoteza mda Dar!
Vijana Dar ni tamu kwa starehe lakini kama hauna kazi ya kukuingizia kipato cha uhakika na ukabaki kudhania kuwa walioko mikoani hawatoboi maisha unajidanganya!
Pia vijana jitahidini kutoka nje ya Dar! Mimi nikikwambia tu Ukienda hata Mwanza hapo kuna vijana wana nyumba kali hata nyumba mnazojenga sijui kinyerezi akija mtu wa Mwanza anawaona hamna maajabu!
Hata Mo Dewji alisema utafiti unaonesha vijana wa mikoani wana kipato kikubwa kuzidi walioko Dar!
Akili mkichwa kila mtu apambane kivyake sio kulishana matango pori hapa!
Kwani walimu wameishabadirika mbona umehamia kwa vijana na mikoa. Hao vijana ambao hawajatoboa nao ni walimu.Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo
Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia
Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam
Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.
Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Njoo Dar nije Dom[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1751][emoji1751]Sisi walimu inabidi tuhamie dar Sasa