Huoni aibu,yani mtu akulishe elf 50,unashindwa kuchangia elf 5 ya nauli yako,hapo bahili ni nani...
Kama mna malengo katika mahusiano yenu basi wakati mwingine mshauri mwenzio asiende kwenye maeneo ya gharama ili angalau kubana matumizi, maana hayo mahusiano sasa ni kama vile yanakosa balance, wewe uchumi wako ni Tia maji wakati mwenzio yupo vizuri. Lakini kama hamna future katika hayo mahusiano yenu basi wala hamna sababu ya kushauriana muache mwenzio atumie pesa zake jinsi anavyotaka na wewe usilalamike wala kumpangia matumizi.Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.
Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya
Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]
Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
Literary kwenye huu uzi tayari unampangia.Ka Ben Ten kangu siwezi kukapangia namna ya kutumia pesa zake.. kwasababu mimi sio mwanamke wake wala sijui pesa zake anapataje mpk ajitutumue
Alieomba outing ndie anatakiwa kuclear bills.Unakaa chanika na out ziko masaki bill 50k na analipa hauoni hata aibu kudai nauli? Ili akuone wa maana clear bill hata siku moja , yaani ubongo wako umejaa makamasi kabisa haifai Una akili za kifukara
Mkuu wanawake wetu akili zao na tabia zao tunazijua wao kutumia pesa zao zina wauma sana wao wanataka kupewa tu, yani ukimuita lazima uwajibike kumlipia kila kitu.Kuwa real, mda mwingine mueleze huna nauli, kama anaweza kukusave kiasi kadhaa, kama anakupenda/jali hashindwi kukupa naul
Hivi,mara ya kwanza alikuwa anakupa nauli kweli?Pole ya nn sasa😅😅😅acha ukorofi
Nan huyo nauli ya kwenda wapHivi,mara ya kwanza alikuwa anakupa nauli kweli?
Unanipa uvivu tu na maswali yako,muone kwanza.Nan huyo nauli ya kwenda wap
Kama mna malengo katika mahusiano yenu basi wakati mwingine mshauri mwenzio asiende kwenye maeneo ya gharama ili angalau kubana matumizi, maana hayo mahusiano sasa ni kama vile yanakosa balance, wewe uchumi wako ni Tia maji wakati mwenzio yupo vizuri. Lakini kama hamna future katika hayo mahusiano yenu basi wala hamna sababu ya kushauriana muache mwenzio atumie pesa zake jinsi anavyotaka na wewe usilalamike wala kumpangia matumizi.
Kila la kheri
Unanipa uvivu tu na maswali yako,muone kwanza.
Kipindi kile huyo kijana alikuwa anakupa nauliiiiii?
Sikumuogezea na sikumnyang'anya piaHalafu baada ya yeye kucomplain ulimuongezea hela au ulichukua hiyo elfu 20 yako kisha ukamuacha atembee kwa miguu mpaka kwao huko kimara?
Uliendelea nae baada ya hapo?Sikumuogezea na sikumnyang'anya pia
Yule wa ofisini je!Hatuna mahusiano bado anafanya kampeni
Tafuta hela⚠️⚠️⚠️Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti.
Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda sana kulazimisha kunitoa out yaani nikikataa ni kama hapendi anajisikia vibaya
Sasa mimi huwa sipendi kutoka bila kuwa na hela yangu lolote linaweza kutokea.. lakini Hii inaboa imagine unakaa chanika halafu out mkaonane masaki.. unatoka na gharama zako unasema basi ka mtu katajiongeza hata Elfu 5 ya nauli kwasababu umeharibu ratiba na bajeti yako lakini mkavu kama nini[emoji35]
Kinachonikasirisha zaidi anaagiza mavyakula ya bei yaani mkitoka hapo menu inasoma 50k nilivyo masikini natamani kumwambia hiyo hela ya msosi anipe 40k hiyo 10k tukale chips tunashiba kabisaa
Acheni ubahiri nyie wanaume[emoji41]
Yeah sababu nilikuwa sijamla bado halafu kitoto cha 2001 kizuri sanaUliendelea nae baada ya hapo?