BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
Mufindi, Mkuu??Uliwahi enda Njombe Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mufindi, Mkuu??Uliwahi enda Njombe Mkuu?
Mkuu atakuwa ametoka Dar, Tanga ama Zanzibari! [emoji16]Mbona mimi nipo Arusha kwa kipindi kirefu na hali ni ya kawaida tu kama mwaka jana au umetokea Dar?
Mufindi, Mkuu??
Kuna jamaa alitoka Arusha nilikutana nae Mbeya ndo akaniambia kule muda mwingi wanakuwa msimu wa baridi watu wapo na makoti mazito, mizura na gloves mikononi, so nkajua huku Mbeya au Njombe cha mtoto
Aje makete nyuzi joto ni 2%huku ni mwendo wa moto2Uliwahi enda Njombe Mkuu?
Aje makete nyuzi joto ni 2%huku ni mwendo wa moto2
Sie wenyeji wa mafinga,njombe hiyo tumeizoea,huku kwetu mpaka theruji ipoKwa taarifa yako kama una mpango wa kuja pande hizi za A- City [emoji2516] ujipange
Baridi ni kali mno
Mbona mamlaka ya hali ya hewa haijatoa angalizo?Kwa taarifa yako kama una mpango wa kuja pande hizi za A- City [emoji2516] ujipange
Baridi ni kali mno
Huwa zinafika hadi negative mkuuMtoa mada ushawahi kufika japo hata cape town south África?usingesema Tanzania kuna baridi!!ushawahi kukutana na maximum nyuzi joto 5?
Itakua hajawahi mkuu.Uliwahi enda Njombe Mkuu?
Itakua hajawahi mkuu.
Aisifiae Mvua...
Uliwahi enda Njombe Mkuu?
Njombe mbona mbali, Makambako tu. Yani pale nadhani maadhimisho ya baridi kitaifa hufanyika pale kila mwaka. Si kwa baridi ile aisee [emoji119][emoji119] Tanzania nzima hakuna mahali kuna baridi kama Makambako na Makete