Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Ni kweli ukiwa Mbeya,Iringa na Niombe Maharage yanachukua mda mrefu sana kuchacha. Huwa yanaenda siku 4 hadi 5 ndo yanachacha. Wakati mikoa ya joto ni siku moja tu.Mbeya nadhani imezidi nimepika maharage Leo Siku ya nne hayajachacha hata