Kama unasafiri kuja Arusha ujipange hali ya hewa ni mbaya sana

Kama unasafiri kuja Arusha ujipange hali ya hewa ni mbaya sana

Mitoto ya sasa hivi mishenzi sana inadeka hadi inakera yaan, enzi hizo hakuna kudeka darasani zinapanda halafu peku yaan
Ajabu mitoto ya ss hv unashangaa inapga one..ukimpa hesabu za log tu chali...! Ila mh😷!
 
So Bora log mkuu Ina akili kidogo, mpe Magazijuto tu hawezi
🤣🤣! Mimi ningekuwa na extra time ningependa kufundisha tuit ya hesabu aise! Dah nawaambiatga wanangu .felini kote sio hesabu...ukitaka uiweze hesabu daily solve hesabu 5 tu! Nakereka sana mtu aishindwe hesabu aise !
 
Maeneo yalio karibu na mlima meru vijij vyote vinazozonguka mlima kuanzia oldonyo sambu .ngaramtoni oldonjo kioga ..olgila ngiresi bangata .sasi engateu. USA kwa wameru wote wa ndoombo Hali ya barid maeneo hayo Ni Kali snaaa chukuaa taadhari na koti kubwa. Baridi inauwa...
 
🤣🤣! Mimi ningekuwa na extra time ningependa kufundisha tuit ya hesabu aise! Dah nawaambiatga wanangu .felini kote sio hesabu...ukitaka uiweze hesabu daily solve hesabu 5 tu! Nakereka sana mtu aishindwe hesabu aise !
Siku hizi shida sana, nakumbuka msuli wa namba pale Tabora boys duuh nikatamani kubaki hapo mwisho wa siku nikatupwa Ilboru huko nako nikakutana na vichaa wa namba looh
 
Kabla ya uharibifu wa mazingira miaka ya 70 kulikuwa na barafu inamwagika kwenye majani asubuhi ilikuwa unakuta majani kama yamemwagiwa unga
Duh

Kwa njombe nakubali, maana ile ukungu na ukiongea unatoka moshi mdomoni ...sikuwa na furaha asee, nilitamani nimalize mishe zangu nigeuze Dar


Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nipo hapa Arusha kikazi....leo siku ya nne naona hali ya hewa ya kawaida na ni nzuri sana....kwa sisi tuliotokea Dar kwenye joto huku naona burudani mpaka natamani ningehamishia makazi huku........Arusha kuzuri sana.....kila mtu yupo bize na shughuli zake....si kina mama, mabinti, mabibi na mababu mpaka vitoto kila mtu ni pirika pirika tu........baridi ikinizidia nakimbilia pale pembeni ya uwanja wa sheik Amri Abeid nakunywa tangawizi na karanga......napoza baridi.......kuanzia asubuhi nilivyooga mpaka muda huu sijatoka hata jasho........
Huo mji haunaga hela[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom