Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Hii miaka minne mitano baridi imepungua nafikiri mabadiliko ya tabia nchi. Lakini miaka ya nyuma ilikuwa balaa buluuNilikuwa naambiwa arusha baridi kali....ila nilipoenda, ni baridi ya kawaida tu. Hakuna maajabu.