Kweli sitamwambia mtu, we nitajiesiwataji yawezekana na wewe pia umo
Wewe hapo wa kwanzaKweli sitamwambia mtu, we nitajie
Me nafatisha maudhui ya uzi jamaniAnakulipa sio ?😅😝
Enhee na wa pili?Wewe hapo wa kwanza
Ulienjoy lakini, au hata ulikua huelewi inakuajenilipigwaga sound na housegirl yeye ndo 'alinitoa ushamba' kwa mara ya kwanza
😂😂 mimi huyo niume kucha?Ewa umekuja jamani nasikia mkitongozwagwa mnakuwa kama watoto wa darasa la tatu sasa m8e nakutongoza tuone kama utang'ata kucha au nguo
Nguvu zimenizidiaWhy jamani
😂 ila watu umejuaje kama natembea?Jamani kuna huyu kaka yetu huyu Half american walahi baba unanikosha kuanzia muonekano wako, manukato yako , lips wacha wee ndio hiyo sauti balaa aisee dah ! Ukitembea mie hoi na gota gota siwezi simama mie ?mapigo yamoyo yamestop tokea unireply saivi mapigo yapo juu ila hayashuki chini.
Eh au ?😂😂 mimi huyo niume kucha?
Utanichagulia wewe au mshamba_hachekwiEnhee na wa pili?
we acha tu, aliniosheaUlienjoy lakini, au hata ulikua huelewi inakuaje
Jichanganye uone 😎Eh au ?
Basi sawa kama ni hivyoMe nafatisha maudhui ya uzi jamani
Kosa langu nini🙆🏾
Kanunue mwenyewe.Sikutishi,kanunue tu sanda uje unizike, kwani shida nini?
najua unataka nimtaje, simtaji😂 mtajuana wenyeweUtanichagulia wewe au mshamba_hachekwi
🤣🤣🤣 Acha hizo😂 ila watu umejuaje kama natembea?
Mtajeeeeeeeeeeeenajua unataka nimtaje, simtaji😂 mtajuana wenyewe
Kajuaje ? 😂😂 anajua mpaka navyoongea?🤣🤣🤣 Acha hizo
Naomba friji ligandishe vizuri asitajwe kabisa😂najua unataka nimtaje, simtaji😂 mtajuana wenyewe