Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

😂 ila watu umejuaje kama natembea?
Yaani basi nakifua hicho siongei kitu mie mate yanashindwa kushuka haya pandi kisa wewe na hiyo hair cut yako inanivutia kama 50 cent upo fine kama nini yaani mie sipati picha ukiwa karibu yangu lazima nikose hewa acha tu ukiwa kwenye kagroup discussion ukiwa unaongelea jambo kwa wenzako siwezi kunywa maji kabisa , acha tu aisee yaani hapa saivi nawaza tu umezaliwa mkoa gani maana sio kwa uzuri huo
 
Yaani basi nakifua hicho siongei kitu mie mate yanashindwa kushuka haya pandi kisa wewe na hiyo hair cut yako inanivutia kama 50 cent upo fine kama nini yaani mie sipati picha ukiwa karibu yangu lazima nikose hewa acha tu ukiwa kwenye kagroup discussion ukiwa unaongelea jambo kwa wenzako siwezi kunywa maji kabisa , acha tu aisee yaani hapa saivi nawaza tu umezaliwa mkoa gani maana sio kwa uzuri huo
Umesahau kuutaja uchebe
 
Yaani basi nakifua hicho siongei kitu mie mate yanashindwa kushuka haya pandi kisa wewe na hiyo hair cut yako inanivutia kama 50 cent upo fine kama nini yaani mie sipati picha ukiwa karibu yangu lazima nikose hewa acha tu ukiwa kwenye kagroup discussion ukiwa unaongelea jambo kwa wenzako siwezi kunywa maji kabisa , acha tu aisee yaani hapa saivi nawaza tu umezaliwa mkoa gani maana sio kwa uzuri huo
🤣😂 ungejua nna bonge la upara usingemuhusisha fifte. Kutongoza ni kipaji
 
Back
Top Bottom