Kutongoza ni namna ya kushawishi mtu kuhusu jambo fulani. Kwahiyo hata mwanamke kumtongoza mwanaume si kwa ubaya Kama wengi wanavyo dhani.
Ni jambo la kawaida tu kumweleza mtu hisia zako, na utegemee matokeo mawili ukubaliwe au ukataliwe. Ingawaje sio utamaduni wetu wengi kwa maisha ya watanzania, mwanamke kumtongoza mwanaume.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzoefu wangu, sijawahi tongozwa na mtoto wa kike na nikamkatalia, mie ni maharage ya mbeya, sijui kukataa..
Nimnyime ya nini hili RUNGU KIPEPE litakija kuliwa na nyenyere tu
Jamani mwenzio nipo hoi saivi navutia malibu kisa wewe njoo basi hapa nilipo uninunulie hiki kinywaji nikupe mistari vizuri nikiwa nakuwaza wewe tu sio mbali tenaNdio 😅
sema ntakufikiria
una nyege wewe sio bureHome Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
wazee wa kuchakata mbususu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo ghafla nataka kukuua jamani🤣🤣🤣Kanunue wewe unaetaka mie nikufe
Pale mtongozwaji anapotakiwa kulipia bills 😂😂Jamani mwenzio nipo hoi saivi navutia malibu kisa wewe njoo basi hapa nilipo uninunulie hiki kinywaji nikupe mistari vizuri nikiwa nakuwaza wewe tu sio mbali tena
hapa sio pizza hut kweli?
Njoo basi nipo nimeboreka acha hizo nikurembulie hadi ushindwe kukataa kulipa billsPale mtongozwaji anapotakiwa kulipia bills 😂😂
Lenie sasa hapa si ndio anafukuza kukubaliwa?
Siunataka kuniacha, naishi ishi ishije bila ya wewe..Kwahiyo ghafla nataka kukuua jamani🤣🤣🤣
Upo wapi tag locationNjoo basi nipo nimeboreka acha hizo nikurembulie hadi ushindwe kukataa kulipa bills
Arusha hapa Kibo Palace sehemu ya barUpo wapi tag location
far from here kataviArusha hapa Kibo Palace sehemu ya bar
Makaveli kanifurahisha na comment yakewazee wa kuchakata mbususu
Ndo penyewe 😋😂 mtoto kizurulee weehapa sio pizza hut kweli?
idk, shoppers?
Wao nilitaman kuja huko katavi national parkfar from here katavi
eti italiwa na nyenyere[emoji1787][emoji1787]Makaveli kanifurahisha na comment yake
Kasema akitongozwa hajui kukataaeti bora iliwe na nyenyere[emoji1787][emoji1787]
Heeee mbona anafeli mapema jamani🤣🤣Pale mtongozwaji anapotakiwa kulipia bills 😂😂
Lenie sasa hapa si ndio anafukuza kukubaliwa?
ulikutana na msukuma wa chatoHome Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu