Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Nyie mlikua mnakutana na wanawake wenzenu ndio maana walikua wana jiumauma au pengine wanaume wa Mombasa wenye tabia za wanaume wa "daslama"
 
umekuwa muwazi....mkaka lazima akatae muda ule baadae after some days anaanza kukutafuta..plse sikuwa namaanisha naomba urudie yale maneno
Kwa mfano mdada akinitongoza inategemea na mwonekano wake, kama sijavutiwa nae namkataa kijanja, nitakua namkwepa, asipoelewa ndo namwambia straight kuwa sipo interested. Siwezi sex na kila mwanamke ninaemwona Marytina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…