Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
[emoji23][emoji23] aaah weee lazima upigwe mshangao sababu sio kawaida msichana kufanya hivo.Tulikuwa tunachagua randomly, ...we kaka naitwa marytina na nashindwa kujizuia kuwa mkweli juu yako....nakuonaga najizuia ila leo bora niseme (MKAKA ANAANZA KUTOA MACHO) , nakupenda na naitaji nikukumbatie hapahapa naikifaa twende off campus tukapumzike
wanaume wanajiona tongoza tongoza wanajiamini....ikitokea yeye katongozwa utaona atakavyokuwa mwoga kama totoWanawake waojaribu kuwatongoza wanaume unaweza kuta ni dumejike yaani shemales, so wanaume nikuwa makini nao sana, alafu haileti utamu au harara mwanamke kumtongoza mwanaume sbb kwa mila zetu utaitwa au utaonekana malaya uliyepitiliza mstari mwekundu. Mwanaume kama hajapenda ujue uume hausimami so hadi mwanaume akupende akutongoze avutiwe na mwanamke ndio uume husimama kwa nguvu zote then mapenzi yanafanyika, na sio kinyume chake.
Test me [emoji6]hahah... utabakia kusema currently i a buss, check with me jioni....ikiwa jioni utasema nina kazi ya kufanya over the night nicheck baadae
We kweli Cha Arusha aisee...Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Uzi tayariHome Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie
Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Hahahahah....kesho yake akiniona ananiogopa atadhani ntamsemea kwa wenzake kwamba jamaa mwoga.....hata awe brazameni kivipi atazima fegiKinachotokea hapo ni mazingira kuwa magumu halafu jambo la haraka kabla hata mwanaume hajatafakari kufikia maamuzi, kwa kiasi kikubwa inaweza kuchangia kumfanya mwanaume awe na wasiwasi, hofu, na kukujiamini.
Hata simba ukimfuata directly na kwa kushtukiza huku ukimkimbiza lazima akimbie kwa hofu. Ataenda mbali na kutafakari hiyo situation huku akiwa hajiamini kabisa.
hiyo inaitwa komoa wakakaAfadhali umemwambia.
Kutongoza mtu mbele ya watu kuna mawili:-
Aidha ni utani au kichwani hamnazo.
Nimekulia chuga na Naivasha Kenya....huko naendaga after kila two years kuwasalimIla kwakua mngoni no surprise upo Kwa mzee your character and not mum
😂😂 data is onWe jizime tu data😂
Ili ninuke ngozi useme nanuka kimbuzi mbuzi uniache 😅Haina hJa mie nije huko wewe njoo halafu unipe offer ya dinner mwaya mie nitakununulia hizi bangili za ngozi za kiume nzuri nzuri
MuiteHalf american ukinikacha basi nitamwita mshindani wako saivi ulie
yaan utacheka mpaka usiku ukiwa umelala kinakuja kicheko jinsi brazamen anavyotatanikaEwa umekuja jamani nasikia mkitongozwagwa mnakuwa kama watoto wa darasa la tatu sasa m8e nakutongoza tuone kama utang'ata kucha au nguo
Hukujaa hofu mwanzoninilipigwaga sound na housegirl yeye ndo 'alinitoa ushamba' kwa mara ya kwanza
hapo ungemkuta umtazame machoni live live bila chenga anakwepesha macho na kujifanya ana ratiba kama Kassim MajaliwaJamani kuna huyu kaka yetu huyu Half american walahi baba unanikosha kuanzia muonekano wako, manukato yako , lips wacha wee ndio hiyo sauti balaa aisee dah ! Ukitembea mie hoi na gota gota siwezi simama mie ?mapigo yamoyo yamestop tokea unireply saivi mapigo yapo juu ila hayashuki chini.
nilikua na upwiru😅Hukujaa hofu mwanzoni
Hujakutana na vichaa ww unamtongoza anakubali na ukimzingua anakupa mambatahapo ungemkuta umtazame machoni live live bila chenga anakwepesha macho na kujifanya ana ratiba kama Kassim Majaliwa
Angezimia yaan tena umpe hii akiwa NOTES BOARD kumejaa watu wameshonana kusoma ratiba kipindi kile kabla ya kizazi cha ratiba online....enzi zetuYaani basi nakifua hicho siongei kitu mie mate yanashindwa kushuka haya pandi kisa wewe na hiyo hair cut yako inanivutia kama 50 cent upo fine kama nini yaani mie sipati picha ukiwa karibu yangu lazima nikose hewa acha tu ukiwa kwenye kagroup discussion ukiwa unaongelea jambo kwa wenzako siwezi kunywa maji kabisa , acha tu aisee yaani hapa saivi nawaza tu umezaliwa mkoa gani maana sio kwa uzuri huo
Kwetu Chugaa tutasumbuana mpaka ukome...hata mtaanHujakutana na vichaa ww unamtongoza anakubali na ukimzingua anakupa mambata