Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Kama unataka kucheka tongoza wanaume. Wataongea kama kitoto cha miaka mitatu

Tulikuwa tunachagua randomly, ...we kaka naitwa marytina na nashindwa kujizuia kuwa mkweli juu yako....nakuonaga najizuia ila leo bora niseme (MKAKA ANAANZA KUTOA MACHO) , nakupenda na naitaji nikukumbatie hapahapa naikifaa twende off campus tukapumzike
[emoji23][emoji23] aaah weee lazima upigwe mshangao sababu sio kawaida msichana kufanya hivo.
 
Wanawake waojaribu kuwatongoza wanaume unaweza kuta ni dumejike yaani shemales, so wanaume nikuwa makini nao sana, alafu haileti utamu au harara mwanamke kumtongoza mwanaume sbb kwa mila zetu utaitwa au utaonekana malaya uliyepitiliza mstari mwekundu. Mwanaume kama hajapenda ujue uume hausimami so hadi mwanaume akupende akutongoze avutiwe na mwanamke ndio uume husimama kwa nguvu zote then mapenzi yanafanyika, na sio kinyume chake.
wanaume wanajiona tongoza tongoza wanajiamini....ikitokea yeye katongozwa utaona atakavyokuwa mwoga kama toto
 
Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga

Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.....

Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu flani tukiwa Kenya..... tukichoka kusoma ni muda wa kuanza kutongoza wanaume, wakaka, wababa wanajiona wajanja kuongea sana sasa jitie wenda wazimu jaribu kumtongoza seriously mkaka au mbaba uone wanavyojiuma, utajichekea mpaka uzimie

Kesho kawatongoze wanaume ofisini au sehemu yako ya kazi uone wanavoongea kama mtoto wa miaka mitatu
Uzi tayari
 
Kinachotokea hapo ni mazingira kuwa magumu halafu jambo la haraka kabla hata mwanaume hajatafakari kufikia maamuzi, kwa kiasi kikubwa inaweza kuchangia kumfanya mwanaume awe na wasiwasi, hofu, na kukujiamini.

Hata simba ukimfuata directly na kwa kushtukiza huku ukimkimbiza lazima akimbie kwa hofu. Ataenda mbali na kutafakari hiyo situation huku akiwa hajiamini kabisa.
Hahahahah....kesho yake akiniona ananiogopa atadhani ntamsemea kwa wenzake kwamba jamaa mwoga.....hata awe brazameni kivipi atazima fegi
 
Jamani kuna huyu kaka yetu huyu Half american walahi baba unanikosha kuanzia muonekano wako, manukato yako , lips wacha wee ndio hiyo sauti balaa aisee dah ! Ukitembea mie hoi na gota gota siwezi simama mie ?mapigo yamoyo yamestop tokea unireply saivi mapigo yapo juu ila hayashuki chini.
hapo ungemkuta umtazame machoni live live bila chenga anakwepesha macho na kujifanya ana ratiba kama Kassim Majaliwa
 
Yaani basi nakifua hicho siongei kitu mie mate yanashindwa kushuka haya pandi kisa wewe na hiyo hair cut yako inanivutia kama 50 cent upo fine kama nini yaani mie sipati picha ukiwa karibu yangu lazima nikose hewa acha tu ukiwa kwenye kagroup discussion ukiwa unaongelea jambo kwa wenzako siwezi kunywa maji kabisa , acha tu aisee yaani hapa saivi nawaza tu umezaliwa mkoa gani maana sio kwa uzuri huo
Angezimia yaan tena umpe hii akiwa NOTES BOARD kumejaa watu wameshonana kusoma ratiba kipindi kile kabla ya kizazi cha ratiba online....enzi zetu
 
Dah inakuwanga amazing and so proud sometimes unajidekeza dekeza hasa kwa sisi madomo zege
 
Back
Top Bottom