Kama unataka kufanikiwa kifedha kupitia mama ako basi usisubiri hadi upate hela nyingi. Fanya kama haya

Kusaidia ni kusaidia tuu kwa moyo,Sasa baba umembagua ndio baraka?!


Umeshasema mtu anasaidia kwa Moyo alafu unauliza Baba Kubaguliwa?

Kinachomfanya mtu afanikiwe ni jitihada + bahati(majaliwa)
Mbaya zaidi majaliwa ya Mungu hayazingatii hayo mambo sijui unasaidia Watu au husaidii. Unasaidia wazazi au husaidii,

Unapewa tuu
 
Asante kwamuongozo,ila tangzo limekaa kimkakati sana,lipia tangazo mkuu.
 
Na ukikwama ndo unaanza kutolewa mifano wa ndg zako au ukimpa aanze kukusifia na kukupendelea kwa kuwabagua ndg zako wasiompa hii nayo mbaya
Hizi familia zetu twende nazo kivyetu vyetu, ukijidai kuzitafutia formula zitakupasua kichwa japo inawezekana kwa wengine mambo yao yamenyooka, ila ndo hivyo wajue yakinyooka kwao sio kwa wote, pengine unaweza toa kwa moyo mwema baadae u
Hii yako pia ni imani.
 
Kwann mama na si baba? Au wote wawili?
 
Anglia Tu na chunga usije kumlisha hela ya mazabe, usije ukathubutu kufosi ukamlisha hela ya deal (upigaji) Chambi huyo huna pa kuiweka.
 
Muwape tu Hela ndio wakati wenu,
RIP my parents am not responsible to anyone Hela yangu ni yangu na watoto wangu Kuna muda natamani wangekuwepo niwatumie.
Waendelee kupumzika kwa amani wazazi wetu.
Hii mada haituhusu sisi tusiokuwa na wazazi. Ila kama wazazi nao wana uwezo wao je manake kama mimi mama alifariki nikwa drs la saba, baba alifariki nikiwa chuo kikuu mwaka wa 2 ila nakumbuka Baba yangu alikuwa ananiambia soma kwa ajili ya manufaa yako wewe na watoto wako utakaowapata usitegemee utakuja nisaidia au usijilemaze kwa mali zangu sikuwaga nafikiria nasoma ili nije nimsaidie kifedha msure wangu aisee .
All in all maisha ni tofauti na tunatoka background tofautitofauti.
Mwisho vijana tuendeleze struggles za maisha ili Mungu akitubariki tukifika uzeeni tusitegemee kupewa fedha za matumizi na watoto wetu
 
Daah toka nikujue LIKUD ,Leo ndo nmekutia heshima.
 
Watoto unawahudumia, wanachukulia sawa tu. Ila Mama yako, nina imani hakosi kukutaja akiwa katika maombi yake!
 
Pole kwa kuondokewa na Mama mapema hivyo!
 
Pole kwa kuondokewa na Mama mapema hivyo!
Asante sana ndugu alifariki ghafla sana akiwa bado mdogo yaani alikuwa 33 baada ya msiba nikaenda sekondary boarding huko ilikuwa kila nikimkumbuka machozi yananitoka najitenga na wenzangu naenda pembeni naliaa wee hadi basi ilinichukua almost mwezi mzima kuacha kulia kila nikimkumbuka.
Mama alikuwa ananipenda kulipo my sisters alikuwa anawaambi sister zangu kwamba mimi ndiye mlinzi wake alikuwa aniachi kila akienda kula bata zake hadi baba alikuwa anakasirika kuna siku msure alinifuma redhended nipo nakunywa glass ya bia ya mama wakati soda yangu ipo pembeni hapo bar . Mama alikuwa na kawaida ya kutoka na mimi kama hajatoka na msure ma sister walikuwa wakimind wanaambiwa mimi mlinzi wake (her only son) wao wakae nyumbani wapike.
Waendelee kupumzika kwa amani wazazi wangu.
Ila ndugu You are not man enough kama hujafiwa na wazazi
Ambao bado mnawazazi wenu Mshukuruni sana Mungu . Hii mada imenifikirisha mbali hivi ukiwa na mke or mume na watoto halafu wazazi wako wapo hai upendo kwa wazazi si unaweza kupungua manake nimeona mtoa mada kamuweka mama yake kundi moja na watoto wake kwenye kuwapa hela wote sawasawa inawezekana vipi mtoto wako na mama yako mzazi wakawa na matumizi sawa ya fedha inafikirisha kidogo, kwa hiyo walio na wazazi hai ili wafanikiwe lazima wampatie mama yao fedha je sisi tusiokuwa na wazazi wa kuwapatia fedha hatuwezi kufanikiwa? Je baba kama yupo hai yeye hatakiwi kupewa fedha ili ufanikiwe?
 
Vipi kuhusu Baba yako, au yeye hapswi kupewa mgao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…