Kama unataka kupunguza umasikini fuga kuku chotara na kama unataka kufanya biashara fuga Kisasa

Kama unataka kupunguza umasikini fuga kuku chotara na kama unataka kufanya biashara fuga Kisasa

Kwanza ieleweke kwamba kuku chotara ni kwa ajili ya kupunguza umasikini na si kwa ajili ya Biashara.

Ukisoma hata andiko la ku introduce Kuroiler kule Uganda ilikuwa ni kwa ajili ya kupambana na umasikini kule Uganda.

KWA NINI SIO MBEGU ZA BIASHARA?
1. kwanza ni performance yao kwenye utagaji kuwa ni ndogo kiasi kwamba haowezi kidhi demand.

2. Ukuaji wao pia.

3. Ni breeds ambazo hazitaki kuzaliana na hapo ndo kosa kubwa sana linapo fanyika.

COMMERCIA BREEDS.

1. Layers

2. Broiler.

Hawa ndo kuku wa biashara achana na story sijui za.kubeba tenga la kuku kutoka vijijini kuja sokoni.

Layers ni kuku wa mayai na mayai yao ndo the most consumed mjini. Na production yao iko juu pia.
Mayai ya layers yanatumika sehemu zifuatazo.

1. Bekary au watengeneza keki.

2. Chips

3. Viwandani.

4. Mahotelini.

Usitarajie eti kiwanda cha keki kiahize mayai ya kienyeji kutengenezea keki never.

BROILER- Hawa ndo kuku wenye soko kubwa na wanao liwa kwa wingi sana.


Kama unataka kupunguza umasikini fuga Kuku chotara ila kama unataka kufanya biashara fuga kuku wa mayai au wa nyama wa kisasa.
point dhaifu bro, ina depend na how una manage kazi yako, chotara ama kuloier wanaweza kuwa biashara tena yenye tija kubwa sana, na layers ama broilers wanaweza pia kuwa biashara nzuri, kitu kuitwa biashara inategemea na how una manage kazi yako sokoni.
point ya ku note, wewe kama ni mjasilia mali, usitegemee tu kuku eti ndio iwe njia yako pekee ya kukupatia kipato, kuwa na vyanzo vingi vya ela, kuwa na shughuri zaidi ya moja..unaweza sema broilers ndio kuku wazuri kufuga ila soko likiyumba utaona ugumu na hasara yake, ama layers wakitaga chini ya kiwango utaona radha ya hasara inavyokuwa, mimi nahisi labda wewe passion yako ni layers na broilers but wapo watu wanafanya chotara au kuloiers na wana enjoy kipato chao,
fuga kuku, ingia shambani lima, nenda dukani weka bidhaa mpya, fuga samaki nk sio unakaa na biashara moja tu..hutoendelea kamwe.
nimeandika kwa kifupi ila kama hujaridhika naweza kukupa mfano wa mfugaji wa kuku chotara 500 jinsi alivyokuwa successful kuliko mfugaji wa layers 500, ndio utajua kuwa biashara ni namna unavyo manage kazi yako,
bon chance!
 
point dhaifu bro, ina depend na how una manage kazi yako, chotara ama kuloier wanaweza kuwa biashara tena yenye tija kubwa sana, na layers ama broilers wanaweza pia kuwa biashara nzuri, kitu kuitwa biashara inategemea na how una manage kazi yako sokoni.
point ya ku note, wewe kama ni mjasilia mali, usitegemee tu kuku eti ndio iwe njia yako pekee ya kukupatia kipato, kuwa na vyanzo vingi vya ela, kuwa na shughuri zaidi ya moja..unaweza sema broilers ndio kuku wazuri kufuga ila soko likiyumba utaona ugumu na hasara yake, ama layers wakitaga chini ya kiwango utaona radha ya hasara inavyokuwa, mimi nahisi labda wewe passion yako ni layers na broilers but wapo watu wanafanya chotara au kuloiers na wana enjoy kipato chao,
fuga kuku, ingia shambani lima, nenda dukani weka bidhaa mpya, fuga samaki nk sio unakaa na biashara moja tu..hutoendelea kamwe.
nimeandika kwa kifupi ila kama hujaridhika naweza kukupa mfano wa mfugaji wa kuku chotara 500 jinsi alivyokuwa successful kuliko mfugaji wa layers 500, ndio utajua kuwa biashara ni namna unavyo manage kazi yako,
bon chance!
Haya mambo huwezi yajua na leta ushuhuda wako na si mambo sijui inamjua mtu. wewe unajua kila siri zake zote?

Acha na story kwenye maisha za kwba unamjua mtu alifanikiwa au alie shindwa. Amini story yako mwenyewe
 
  • Thanks
Reactions: o_2
Kwa uzalishaji wa bidhaa yoyote kibiashara iwe kilimo ama ufugaji ni vema kuzingatia vipengele hivi:-
1. Product (bidhaa)
2. Price (bei)
3.Promotion(matangazo)
4. Place (mahali)
5. People (watu unaowalenga).
Ukizingatia hayo iwe kroiler, broiler ama layer mambo yataenda
Uko unasoma Marketing Managment? Hahahaaaa
 
Kuku chotara wanafaa wote kwa biashara inategemeana tu unataka kuwafanya kuwa wa nyama au wa mayai km ni wa mayai ndani ya wiki 18 tu km unamlisha vizuri ataanza kukupa mayai kwa faida, na mayai yake utayagroup kwa mayai ya kienyeji,n km tunavyofanya mayai ya kuku wa kienyeji bei yake tofauti na layers wa kawaida kwa apo unaweza ukafuga kwa faida kubwa sana, pili awo kuku pia unaweza ukawafuga km kuku wa nyama na ndani ya izo week ukaanza kuwauza kwa bei ya kuku wa kienyeji na faida ukapata, kwa ufupi unaweza kumaliza umaskini na kupata kipato kikubwa sana.
Ni vigumu sana kuelewa mkuu ila ukweli ndo huo sasa ukitaka kuprove beyond ingia wewe mwenyewe na usije na story za unamnua alie fanikiwa kwa kufuga sijui Chotara
 
Haya mambo huwezi yajua na leta ushuhuda wako na si mambo sijui inamjua mtu. wewe unajua kila siri zake zote?

Acha na story kwenye maisha za kwba unamjua mtu alifanikiwa au alie shindwa. Amini story yako mwenyewe
sasa kama unataka niamini story yangu kwanini wewe utuletee story yako ya kuku chotara hawafai na layers ndio biashara, hujielewi wewe...
mimi binafsi nimefuga nafuga layers na nafuga chotara na nina uzoefu wa miaka 7 ktk hii kazi,
usipotoshe watu kuwa kitu flani hakifai kwa sababu it doesnt work on you..
sio kila ana comment hapa hajui kitu mzee watu wapo na uzoefu wao wanakuangalia tu unavyo babaika.
 
Ni vigumu sana kuelewa mkuu ila ukweli ndo huo sasa ukitaka kuprove beyond ingia wewe mwenyewe na usije na story za unamnua alie fanikiwa kwa kufuga sijui Chotara
hii kazi naifanya huu mwaka wa saba, usi underestimate mtu ambae humjui.
 
sasa kama unataka niamini story yangu kwanini wewe utuletee story yako ya kuku chotara hawafai na layers ndio biashara, hujielewi wewe...
mimi binafsi nimefuga nafuga layers na nafuga chotara na nina uzoefu wa miaka 7 ktk hii kazi,
usipotoshe watu kuwa kitu flani hakifai kwa sababu it doesnt work on you..
sio kila ana comment hapa hajui kitu mzee watu wapo na uzoefu wao wanakuangalia tu unavyo babaika.
Leta story yako sio ya Jamaa ako au sijui unamjua jamaa mmoja.

This is my experience. Ila kama hujawahi fuga hata njiqa tunapotezeana mida na MB humu
 
Leta story yako sio ya Jamaa ako au sijui unamjua jamaa mmoja.

This is my experience. Ila kama hujawahi fuga hata njiqa tunapotezeana mida na MB humu
hebu tuambie unaelewa nini kuhusu biashara ya kuku mzee,
mimi mwenyewe ni mfugaji wa hawa ndege na naijua hii biashara vzuri
acha kupotosha watu...futa thread hiyo
 
hebu tuambie unaelewa nini kuhusu biashara ya kuku mzee,
mimi mwenyewe ni mfugaji wa hawa ndege na naijua hii biashara vzuri
acha kupotosha watu...futa thread hiyo
Last .

Nisha sema leta ushahidi kupingana na hii post.

Unaelewa maana ya ushahidi? Kama ni story basi endelea wewe.

Ila ukileta Ushahidi basi nishutue au ni tag nije kujibu hoja yako.

Kwa maneno naishia hapa
 
Nadhani huyu jamaa ndo katoka shule na ana mahesabu ya kishuleshule,hali halisi haipo hivyo,mayai na kuku wa kienyeji wanabiashara kubwa sana tofauti na anavyoeleza,pia wanagharama ndogo sana kuwahudumia,
 
Nadhani huyu jamaa ndo katoka shule na ana mahesabu ya kishuleshule,hali halisi haipo hivyo,mayai na kuku wa kienyeji wanabiashara kubwa sana tofauti na anavyoeleza,pia wanagharama ndogo sana kuwahudumia,
Leta mahesabu na si mipasho. mbona wagumu wana wa kuelewa?

Mahesabu mahesabu hiwezi kaa kimya.

Mipasjo ni kule facebook.

Njoo na Document za kuniabisha mimi.

Huwezi niabisha kwa maneno matupu.
.Upo?
 
Nadhani huyu jamaa ndo katoka shule na ana mahesabu ya kishuleshule,hali halisi haipo hivyo,mayai na kuku wa kienyeji wanabiashara kubwa sana tofauti na anavyoeleza,pia wanagharama ndogo sana kuwahudumia,
Ukisha shusha Document za kuniabisha nishutue hata kwa PM nije kuaibika.

Ila kwa maneno endelea mwenyewe
 
Ukisha shusha Document za kuniabisha nishutue hata kwa PM nije kuaibika.

Ila kwa maneno endelea mwenyewe
wewe document zipi za mahesabu umeleta zaidi ya kueleza sijui wana ukuaji hafifu hamna anaekula mayai ya chotara, mahesabu yapi umeleta mzee? acha upotoshaji
hivi unajua broiler wa wiki 8 gharama yake ni kubwa kuliko chotara wa miezi 5 na bado chotara anauzwa si chini ya 10000 per kichwa wakati broiler elfu 5 ikizidi sana 6mia5?
hivi unajua chotara akifika miezi 5 unaweza mpa tu mahindi au mtama na majani mengiiiiiiii na akaendelea kuwa na uzito mzuri tu, niambie wewe broiler akikosa mteja kiasi gani anagharimu kwa siku, hujui kitu mzee unakurupuka tu.
eti waliletwa kwa ajili ya kupunguza umasikini na sio biashara okay twende shule sasa, niambie nini lengo la kutengeneza hybrids? na kuku wa mayai unaofuga wewe ni breed gani au hao broilers ni breed gani? tell us
wewe hamna hesabu hata moja uliloleta then unadai mahesabu kwa watu, shame be upon you bro acha kupotosha watu
 
layers ni kuku mzuri kufuga
broiler ni kuku mzuri kufuga
chotara/kuloier ni kuku mzuri kufuga
indigenous kienyeji pia ni wazuri..

inategemea na
ujuzi wako
passion yako
eneo ulipo, i mean soko lako
mtaji wako
na muda wako

elimisha watu na usiponde eti kuku flani ni mbaya huyu mzuri.
 
Hivi hawa kuku mbona wamekuwa wa aina nyingi tofauti au utandawazi naomba kujuzwa aina za kuku kwanza wakuu
 
Hivi hawa kuku mbona wamekuwa wa aina nyingi tofauti au utandawazi naomba kujuzwa aina za kuku kwanza wakuu
bro kuku wapo wa aina nyingi sana,

kuna pure breeds
super hybrids na
hybrids

na siku zinavyozidi kwenda tutapata aina nyingi zaidi za kuku, kwa sbb wataalamu wana cross hizi pure breeds ili kupata hybrids ambao wanasifa nzuri zaidi..(thanks to genetics)
lengo la kufanya crossing ni kupata kuku
1.wanaotaga mayai mengi
2.wanaokuwa na misuli mikubwa (nyama)
3.au wanaokuwa na sifa zote mbili

na hii cross inategemea na mahitaji, na kupunguza gharama,
 
bro kuku wapo wa aina nyingi sana,

kuna pure breeds
super hybrids na
hybrids

na siku zinavyozidi kwenda tutapata aina nyingi zaidi za kuku, kwa sbb wataalamu wana cross hizi pure breeds ili kupata hybrids ambao wanasifa nzuri zaidi..(thanks to genetics)
lengo la kufanya crossing ni kupata kuku
1.wanaotaga mayai mengi
2.wanaokuwa na misuli mikubwa (nyama)
3.au wanaokuwa na sifa zote mbili

na hii cross inategemea na mahitaji, na kupunguza gharama,
Nimekupata mkuu
 
Back
Top Bottom