Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Ingekuwa suala ni hela tu basi watu kama Bill Gates, Warren Buffet, Queen Elizaberth na watoto wake na wengine wenye pesa wasingezeeka.Nadhani tatizo ni hela mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa suala ni hela tu basi watu kama Bill Gates, Warren Buffet, Queen Elizaberth na watoto wake na wengine wenye pesa wasingezeeka.Nadhani tatizo ni hela mkuu
Kumbe unaongelea uzee wa sura, nilifikiri mwili mzima.View attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023. Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Unazuilika ndio ila nidham na pesa ya kuuzuia uzee wabongo hatuna.View attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023. Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Duuuh sio powa mzuri sanaLure Hsu
Pharel WilliamsYule aloimba "because I am happy" cjui huwa ni vampire,hazeekagi kabisa yule
Kwani viazi siyo chakula ?Sofia vergara yuko 50s ila anaonekana bado mdada tuu.
Matunzo wewe ufukie viazi asbh mchana jioni ( vyakula vya wanga) ilhali mwenzio anakula balance diet,mazoezi na anazungukwa na wataalamu wa afya masaa 24. Hamuwezi kuwa sawa kimuonekano.
Ila mbinu za kuonekana kijana zipo.... huwa unamfuatilia Rais wa Marekani Joe Biden... ana miaka 80 lakini ukimuangalia vizuri anaonekana kama hajazeeka..
Nadhani ni kuishi maisha ya afya... mfano kuna watu wanakuambia ukiwa unakula sana chakula mwili unazeeka haraka kwasababu, mwili unapokuwa unamengenya chakula huwa unatumia energy kubwa sana ambayo inachangia kuzeesha mwili
Aisee kweli bana.., tena angepungua unene kidogo tu, angerudi utoto..View attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023. Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Hawa si binadamu wa kawaida mkuuView attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023. Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Ndio maana kwenye mabano nikaweka vyakula vya wanga.Kwani viazi siyo chakula ?