Kama unazeeka ni wewe. Kwa taarifa yako uzee unazuilika. Cheki hapa!

Kama unazeeka ni wewe. Kwa taarifa yako uzee unazuilika. Cheki hapa!

Nadhani dawa sahihi ya uzee ni PESA ukiwa na Pesa lazima
Utakula chakula Bora
Utaondoa stress
Utalala pazuri
Utatanya mazoezi

Hata dada zetu wanaonekana wazee kwa kula Sana mihogo ,Kachori na ugali na dagaa mchele
Stress za vikoba
Udangaji misuguano ya kila Aina
So Mtu wa hivyo ngumu kutoboa miaka 40 akiwa katika mwonekano mzuri wenye kuvutia

Mtu ukiwa na Pesa unazeeka ila ile ule mvuto Kama wa Lowassa unaendelea kuonekana.
 
[mention]FaizaFoxy [/mention] tunaomba na picha yako we bibi
1696181637372.png
 
Huyo siyo Beyonce asilia ni makeup na picha za Beyonce zilizopambwa. Siku hizi watu wanacheza na makeup na graphics, anawezekana kuwekwa vyovyote anavyotakikana aonekane.

Hizo picha mwenyewe akiziona anauliza "huyu nani?"
Lete na zako basi Bi Mkubwa, tufanye Comparison
 
Usijali, usihangaike sana. Hii nayo iko 'so hooot'!

Okay naendelea I tafuta mdogomdogo nikiiona tuu naibadili.

Sio pekeyako uliyeomba nirudishe ile ya zamani.
 
Back
Top Bottom