sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Wenyewe wanajidunga serengeti lite na kilimanjaroWema sepetu na ajifunze haya maujanja, ni mwendo wa Juice ya karot maziwa asali na ginger kidogo sana every night, iwe ndio utaratibu wa kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenyewe wanajidunga serengeti lite na kilimanjaroWema sepetu na ajifunze haya maujanja, ni mwendo wa Juice ya karot maziwa asali na ginger kidogo sana every night, iwe ndio utaratibu wa kawaida.
Ndio kusema mtu mwenye umri wa miaka 70 yuko sawa na mtu mwenye umri wa miaka 40?View attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023. Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Na uzi ufungwe🤣🤣🤣🤣Nadhani tatizo ni hela mkuu
Ndiyo. 70 mwenye hela ni sawa na 40 fukaraNdio kusema mtu mwenye umri wa miaka 70 yuko sawa na mtu mwenye umri wa miaka 40?
[mention]FaizaFoxy [/mention] tunaomba na picha yako we bibi
Hawapendani. Sijui kwanini. Hata wakiwa na ugomvi hawawezi kusuluhishana badala yake wanashindanaHivi ni kwanini wanawake munaoneana wivu
♥️Tuwekee ya mama'ko kwanza Ya zamani na ya sasa.
Lete na zako basi Bi Mkubwa, tufanye ComparisonHuyo siyo Beyonce asilia ni makeup na picha za Beyonce zilizopambwa. Siku hizi watu wanacheza na makeup na graphics, anawezekana kuwekwa vyovyote anavyotakikana aonekane.
Hizo picha mwenyewe akiziona anauliza "huyu nani?"
Usijali, usihangaike sana. Hii nayo iko 'so hooot'!
Pitia uzi vizuri.Lete na zako basi Bi Mkubwa, tufanye Comparison
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Nimetii ombi lako, wacha niitafute nifanye hivyo.
Umeshawahi kumuona akiwa hana makeup,mathalani ni asubuhi katoka kuamka...?View attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023. Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!