Kama ungepata nafasi ya kuzaliwa mara ya pili ila uwe mnyama! ungechagua kuwa Mnyama gani!???

yule mnyama anayependa kusex sana sijui anaitwa nan mpenda asali sanaaaaaaaaaaaaaa...jani likigusa papuchi ya jike lake...analichezeshea dudu mpaka anatoa bao
 
Sawa mkuu nimekusoma unachomaanisha. Nashukuru na ww umeelewa kwamba huu ni utani tu. Actually nmewahi kufuga nyau ndo maana nimemtaja kirahisi tu ila sio kwamba mi napenda kuiba mboga [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahahaha tupo pamoja... Ila utakuwa unapenda sana wali nazi, naomba umwambie shemeji nitakuwa mgeni kwenu, ahsante sana...
 
Hivi mnyama gani anamuabudu Mungu! Mi ningechagua huyo..
 
Na kwann wewe ulichagua uzaliwe simba,ila vizuri ukizaliwa jike,harafu mm niwe thimba dume,weeeeee!!kila tukikamata swala hatuli mpaka nikupige dushelele[emoji1] [emoji2] [emoji3]
Hahahaaa! Hiyo Avatar yako sawasawa na Mawazo yako! By the way Mimi ningekua Simba Dumbe! King of the Jungle....!!!
 
yule mnyama anayependa kusex sana sijui anaitwa nan mpenda asali sanaaaaaaaaaaaaaa...jani likigusa papuchi ya jike lake...analichezeshea dudu mpaka anatoa bao
Anaitwa Nyegere mkuu!
 
Hivi wakuu Kuna uhusiano Kati ya tabia za wachangiaji na tabia za Wanyama waliowachagua??
 
Hahahaaa! Hiyo Avatar yako sawasawa na Mawazo yako! By the way Mimi ningekua Simba Dumbe! King of the Jungle....!!!
Sasa wew c'umechagua kuwa simba,unacholalam nn,mbona huna shukurani mkuuu,mm simba mwenzi(mzazi mwenzio nipo),ndomana nimekwambia tukikamata tu swala wetu tunamuacha kwanza nakupiga dushelel,theni tutahamia kula,sawa thimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…